Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Tatizo mkuu, hufahamu au huelewi maana ya Anasa na Starehe. Ww umewekeza katika anasa. Hata kupanda gari ni starehe mkuu
 
Juzi nilikua bar na rafiki angu fulani. Meza ya jiran wamekaa kina mama wa kichaga wanene sana juu nyuma pasi. Wakaja wakaka wawl tunapiga via weeeee, kati ya hao kaka wawl mmoja anakunywa tungi mwingine bze na laptop. Hao mama niwa makamo wana itafta 60 each. Hao mama wa kichaga zilivyo wakolea wakaanza Yesuuuuu, hawa wasiokunywa beer ulevi wao upo chini. Umri na maneno waliyo kuwa wakiongea haviendani kabsa
 
Starehe yangu hii hapa
6673008b02d40f77077d6a8a500e33f2.jpg
758defd160e46ae8d6add818cfef7b86.jpg
 
Back
Top Bottom