nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,512
Jambo wewe?Kuangalia movies!
Umbea kwenye vijiwe vya ghahawa.Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Sijambo!!! Mi natumia club soda au soda waterJambo wewe?
Karibu [emoji485][emoji485][emoji485]
KaahSijambo!!! Mi natumia club soda au soda water
Duuh! Mia tano tu hutaki lipa ila buku mbili unaweza!!Kaah
Bili ya soda utalipa wewe mwenyewe [emoji3]
sema ibada ni kitu kisichoepukikaStarehe yangu kubwa ni ibada