Hivi nyie simba nani amewaloga?

Hivi nyie simba nani amewaloga?

Tunaomba utueleze haliyekwambia SIMBA Taifa kubwa mabigwa wa kihistoria wanamtaka huyo chura nani? au ndio umetoka kuogelea kwenye swimming pool lenu huku mifugo yenu ikikuangalia

kama umeshindwa kazi ya kuudumia wale mbuzi pale bwawan, sema tukupe kazi kukuna nazi msimbazi
 

Attachments

  • uwanjayanga.jpg
    uwanjayanga.jpg
    19.6 KB · Views: 29
  • uwanja.jpg
    uwanja.jpg
    21.9 KB · Views: 29
Eti furaha ya Yanga ni kuona Niyonzima hachezi Tanzania. Muaeche achague atacheza wapi? Akirudi kwenu Simba haina shida, akija Simba Yanga tumewapa ubovu. Shida iko wapi! Ni haki yenu kuwa na wivu maana ninyi ni wa hivyo hivyo. Chukua Ajib, Okwi ndani ya nyumba. Bocco haramu anasubiri maangamizi
 
Mwehu kweli wewe kubebwa ndo ushindi subiri huu msimu uanze na wahaya wenzenu waliopo selo wamewabeba nanyi mnajiona washindi
Mapimbi sana yanga wote

Sasa hivi hakuna cha magoli mengi tuone kama mtabeba
Tumewapiga nje ndani tena watu 9 [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hujielewi wewe au umeanza kushabikia mpira awamu ya tano? Yanga imechukua ubingwa kabla hata hujazaliwa! Hao wahaya wako walikuwepo? Mmekuwa watu wa kulialia kila mwaka. Ni mara ngapi simba inabebwa? Fainali ya FA na mbao si mlibebwa au ulikuwa kipofu? kama mashabiki wenyewe wa simba ni wa aina yako kweli nyie ni mambumbu! Kula omo utoe povu zaidi
 
Wapi? Hahahaa. Wewe umesema pesa za Okwi unazitaka za nini? Pesa za Okwi anazo Okwi.
 
Hujielewi wewe au umeanza kushabikia mpira awamu ya tano? Yanga imechukua ubingwa kabla hata hujazaliwa! Hao wahaya wako walikuwepo? Mmekuwa watu wa kulialia kila mwaka. Ni mara ngapi simba inabebwa? Fainali ya FA na mbao si mlibebwa au ulikuwa kipofu? kama mashabiki wenyewe wa simba ni wa aina yako kweli nyie ni mambumbu! Kula omo utoe povu zaidi
Mbumbu kweli wewe umesahau penalty mliopewa na majimaji bahati yako mhay a kakubeba
Na toka aingie 2012 ndo umeanza kutoa pua lako


Mpira wenu figisu figisu
 
<font color="[HASHTAG]#808080[/HASHTAG]">
manji-jpg.535410
<br /></font>
<br /><font color="[HASHTAG]#808080[/HASHTAG]">Mfanyabiashara maarufu na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Yusuf Manji na wenzake wawili wamefungua kwa hati ya dharura maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar wakiomba waachiwe kwa sababu wamekamatwa isivyo halali.<br /><br />Mbali na Yusuf Manji katika maombi hayo yaliyowasilishwa leo July 4, 2017 na kupangiwa mbele ya Jaji Lugano Mwandambo, walalamikaji wengine ni Deogratius Kisinda na Thobias Fwere ambapo wamefungua maombi hayo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, IGP Simon Sirro na Mkuu wa Upelelezi Kanda ya Dar.<br /><br />Kwa mujibu wa hati ya kiapo ambayo imewasilishwa na Wakili Gudson Ndusyepo, Manji na wenzake wanaiomba Mahakama Kuu iwaachie kutokana na kukamatwa isivyo halali huku wakiiomba Mahakama hiyo kutoa amri ya kuwataka walalamikiwa wawafikishe Mahakamani ili washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.<br /><br />Katika hati hiyo, Wakili Ndusyepo amebainisha kuwa Manji na wenzake walikamatwa nyakati tofauti tofauti ambapo mlalamikaji Kisinda alikamatwa June 30, 2017 saa 10 jioni wakati Manji na Fwere walimatwa July 1, 2017 saa 5 asubuhi katika Jengo la Quality Center Barabara ya Pugu, Dar.<br /><br />Manji na wenzake walikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi katika ghala la Quality Motors Group ambapo kupitia hati hiyo ya kiapo, Wakili Ndusyepo amebainisha kuwa kukamatwa kwa walalamikaji sio halali kwa sababu kosa linalodaiwa dhidi yao linahusiana na masuala ya Kampuni ya Quality Motors ambayo inaongozwa na Wakurugenzi wake na Manji.<br /><br />Mara baada ya kukamatwa kwa walalamikaji hao waliombewa dhamana lakini ilikataliwa kwa sababu zisizojulikana<br /><br />”Kama Wakili wa waombaji nimefuatilia suala la dhamana hadi sasa saa 48 zimeshapita tangu walipokamatwa, lakini hawajafikishwa Mahakamani. Jambo hilo ni kinyume na sheria.” – Wakili Ndusyebo<br /><br /><b>Source: </b>Mpekuzi</font>
 
Nendeni kumpigia goti







<font color="[HASHTAG]#808080[/HASHTAG]">
manji-jpg.535410
<br /></font>
<br /><font color="[HASHTAG]#808080[/HASHTAG]">Mfanyabiashara maarufu na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Yusuf Manji na wenzake wawili wamefungua kwa hati ya dharura maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar wakiomba waachiwe kwa sababu wamekamatwa isivyo halali.<br /><br />Mbali na Yusuf Manji katika maombi hayo yaliyowasilishwa leo July 4, 2017 na kupangiwa mbele ya Jaji Lugano Mwandambo, walalamikaji wengine ni Deogratius Kisinda na Thobias Fwere ambapo wamefungua maombi hayo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, IGP Simon Sirro na Mkuu wa Upelelezi Kanda ya Dar.<br /><br />Kwa mujibu wa hati ya kiapo ambayo imewasilishwa na Wakili Gudson Ndusyepo, Manji na wenzake wanaiomba Mahakama Kuu iwaachie kutokana na kukamatwa isivyo halali huku wakiiomba Mahakama hiyo kutoa amri ya kuwataka walalamikiwa wawafikishe Mahakamani ili washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.<br /><br />Katika hati hiyo, Wakili Ndusyepo amebainisha kuwa Manji na wenzake walikamatwa nyakati tofauti tofauti ambapo mlalamikaji Kisinda alikamatwa June 30, 2017 saa 10 jioni wakati Manji na Fwere walimatwa July 1, 2017 saa 5 asubuhi katika Jengo la Quality Center Barabara ya Pugu, Dar.<br /><br />Manji na wenzake walikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi katika ghala la Quality Motors Group ambapo kupitia hati hiyo ya kiapo, Wakili Ndusyepo amebainisha kuwa kukamatwa kwa walalamikaji sio halali kwa sababu kosa linalodaiwa dhidi yao linahusiana na masuala ya Kampuni ya Quality Motors ambayo inaongozwa na Wakurugenzi wake na Manji.<br /><br />Mara baada ya kukamatwa kwa walalamikaji hao waliombewa dhamana lakini ilikataliwa kwa sababu zisizojulikana<br /><br />”Kama Wakili wa waombaji nimefuatilia suala la dhamana hadi sasa saa 48 zimeshapita tangu walipokamatwa, lakini hawajafikishwa Mahakamani. Jambo hilo ni kinyume na sheria.” – Wakili Ndusyebo<br /><br /><b>Source: </b>Mpekuzi</font>
 
Mbumbu kweli wewe umesahau penalty mliopewa na majimaji bahati yako mhay a kakubeba
Na toka aingie 2012 ndo umeanza kutoa pua lako


Mpira wenu figisu figisu
Daa we jamaa hujielewi kabisa, marefarii duniani kote wanafanya makosa. Hata ligi za walioendelea zaidi yetu marefa wanafanya makosa ya kipuuzi kama la huyo refa wa mechi ya Majimaji na Yanga! Nakukumbusha tena Yanga imekuwa bingwa kabla ya mwaka 2012, wakati huo hao wahaya walikuwa TFF? Sorry, umeanza kufuatilia mpira wa miguu lini?
Mbumbu kweli wewe umesahau penalty mliopewa na majimaji bahati yako mhay a kakubeba
Na toka aingie 2012 ndo umeanza kutoa pua lako


Mpira wenu figisu figisu
 
Sina maana ya kumkwaza mtu, ila sis mashabiki wa simba wakati mwingine inakuwaga vigumu sana kututofautisha na wakereketwa wa ccm.
 
Sina maana ya kumkwaza mtu, ila sis mashabiki wa simba wakati mwingine inakuwaga vigumu sana kututofautisha na wakereketwa wa ccm.
Mkuu hapo umemaliza ila wenzenu angalau huwa wanaambulia fulana na kofia
 
Back
Top Bottom