Hivi nyie Uongozi wa Simba SC mna Akili sawa sawa Kweli? Sasa Waziri Junior 'Shentemba' wa nini Simba SC yetu?

Hivi nyie Uongozi wa Simba SC mna Akili sawa sawa Kweli? Sasa Waziri Junior 'Shentemba' wa nini Simba SC yetu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani huyo Mchezaji hata kwa Timu yangu niiyokuwa nikiifundisha Kawe ( wakati bado Sijahama ) asingeweza kupata Namba kwani nilikuwa na Kijana Mmoja matata niliyempavchika Jina la Mayele sasa nimemuuza 'Kisela' klabu moja akaanze kucheza Timu yao ya Vijana ila najua kwa Kipaji chake Msimu ujao lazima tu Simba na Yanga watamhitaji na hapo ndipo GENTAMYCINE naenda kupiga Hela ya maana.

Eti Waziri Junior hovyo kabisa nyie Viongozi wa Simba SC. Nikijifua Mwezi tu hawezi Kuchukua namba mbele yangu.
 
Kwa washambuliaji wa ndani, Waziri Junior ndiye mwenye takwimu nzuri zaidi kuliko wote. Anaweza kuisaidia Simba kama atapewa nafasi ya kucheza pasipo kupewa presha na mashabiki
 
Ndiyo huyu ?
 

Attachments

  • 66399E1C-5B80-4D1A-AF1B-E9F389ED037E.jpeg
    66399E1C-5B80-4D1A-AF1B-E9F389ED037E.jpeg
    974.1 KB · Views: 5
Yaani huyo Mchezaji hata kwa Timu yangu niiyokuwa nikiifundisha Kawe ( wakati bado Sijahama ) asingeweza kupata Namba kwani nilikuwa na Kijana Mmoja matata niliyempavchika Jina la Mayele sasa nimemuuza 'Kisela' klabu moja akaanze kucheza Timu yao ya Vijana ila najua kwa Kipaji chake Msimu ujao lazima tu Simba na Yanga watamhitaji na hapo ndipo GENTAMYCINE naenda kupiga Hela ya maana.

Eti Waziri Junior hovyo kabisa nyie Viongozi wa Simba SC. Nikijifua Mwezi tu hawezi Kuchukua namba mbele yangu.
Nchi hii hata Baba Revo anaweza kuwa kocha. Huwa nawasikiliza wachambuzi wanamasifia Waziri Jr nabaki kujiuliza mbona anayesifiwa ni wa kawaida Sana? Waziri Jr ni mchezaji wa championship siyo ligi Kuu, lakini eti ndo striker WA nchi.
 
Nchi hii hata Baba Revo anaweza kuwa kocha. Huwa nawasikiliza wachambuzi wanamasifia Waziri Jr nabaki kujiuliza mbona anayesifiwa ni wa kawaida Sana? Waziri Jr ni mchezaji wa championship siyo ligi Kuu, lakini eti ndo striker WA nchi.
Kama wewe unapewa nafasi ya kuchagua mshambuliaji wa ndani kwasasa ungemchagua mchezaji gani aingie kwenye kikosi cha timu?
 
Kwa wachezaji wa ndani Waziri jr ni usajili sahihi kwa simba Maana takwimu zinambeba ukilinganisha na hao washambuliaji wengine. Labda kama timu inasajili wachezi wote 30 wa kigen hapo ndipo tungesema Waziri jr wanini simba. Huo ni mtazamo wangu
 
Naweza kusema kwa vipindi vya hivi karibuni ambapo Simba alichukua ubingwa wa Tanzania Bara walikuwa hawashindi kwa njia halali bali kwa rushwa kwa kuwaonga baafhi ya viongozi, wachezaji na makocha wa tmu pinzani na pia wasimamizi wa mechi.

Haiwezekani timu kama ni bora ikachukua ubingwa kwa njia halali alafu ikauza wachezaji wawili ambao ni Chama na Luis wakashindwa kufanya vizuri kwenye timu zikizowasajili hii moja kwa moja inaleta timu haikushinda kwa njia halali.

Nakumbuka wakati huo kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu Simba ila waandishi wetu wa habari walikuwa kimya kuongelea ili inawezakana labda kwa mapenzi yao na Simba ama walipewa kitu kidogo!

WENYE AKILI NDOGO WATAPINGA MAWAZO YANGU!
 
Naweza kusema kwa vipindi vya hivi karibuni ambapo Simba alichukua ubingwa wa Tanzania Bara walikuwa hawashindi kwa njia halali bali kwa rushwa kwa kuwaonga baafhi ya viongozi, wachezaji na makocha wa tmu pinzani na pia wasimamizi wa mechi.

Haiwezekani timu kama ni bora ikachukua ubingwa kwa njia halali alafu ikauza wachezaji wawili ambao ni Chama na Luis wakashindwa kufanya vizuri kwenye timu zikizowasajili hii moja kwa moja inaleta timu haikushinda kwa njia halali.

Nakumbuka wakati huo kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu Simba ila waandishi wetu wa habari walikuwa kimya kuongelea ili inawezakana labda kwa mapenzi yao na Simba ama walipewa kitu kidogo!

WENYE AKILI NDOGO WATAPINGA MAWAZO YANGU!
Hivi mkutano mkuu bado tu
 
Back
Top Bottom