mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Dah nimecheka sanaKikosi ni kauka nikuvae
Aisee! Kwahiyo ndo kusema kama kuna mawingu lazima wavae nguo mbichi?Kikosi ni kauka nikuvae
mashabiki wa Simba jana mlichukia kuona ule mziki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...hapa kwenye kibanda umiza huwezi amini mashabiki wa KOLO FC km watano walitoka wamekasirika huku wanatukana kabla ya mchezo kuanza baada ya kuona mziki wote upo ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mji mgumu sana huu POLENUKama kichwa cha HabarI kinavyojieleza , kuna haja gani timu yenu kusajili wachezaji 30 , kama Ihefu tu nayo mnaweka kikosi cha kwanza utafikiri mnaenda kupambana na mnyama mkali simba? Au ni woga? Wapeni nafasi wachezaji wote waonyeshe vipaji vyao.
Dah! Nchi hii ni ngumu Sana .Unatumia baruti na mabomu kumlipua Nzi !!!mashabiki wa Simba jana mlichukia kuona ule mziki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...hapa kwenye kibanda umiza huwezi amini mashabiki wa KOLO FC km watano walitoka wamekasirika huku wanatukana kabla ya mchezo kuanza baada ya kuona mziki wote upo ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mji mgumu sana huu POLENU
kwanza tangia lini tumeanza kupangiana kikosi nyie ma[emoji1664][emoji1664][emoji1664]
nonsenseDah! Nchi hii ni ngumu Sana .Unatumia baruti na mabomu kumlipua Nzi !!!
....Kwani mnawashwa nini tukipanga full mziki? Mnatusaidia kulipa mishahara wachezaji?Kama kichwa cha HabarI kinavyojieleza , kuna haja gani timu yenu kusajili wachezaji 30 , kama Ihefu tu nayo mnaweka kikosi cha kwanza utafikiri mnaenda kupambana na mnyama mkali simba? Au ni woga? Wapeni nafasi wachezaji wote waonyeshe vipaji vyao.
...Yes, Kuna tatizo kwani?Kikosi ni kauka nikuvae
Ndio, na Kuna nzi alinusurika Dec 11 kulipuliwa na hizo Baruti na Mabomu yetuDah! Nchi hii ni ngumu Sana .Unatumia baruti na mabomu kumlipua Nzi !!!
Yule Nzi wa kijani ? Au Nzi gani unayemsema ?Ndio, na Kuna nzi alinusurika Dec 11 kulipuliwa na hizo Baruti na Mabomu yetu
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno. Kwanza yale sio mashindano kwa akili ya majaribio bali ni mashindano na ni mtoano. Kosa walilofanya simba dhidi ya Green woriors na mashujaa ilitaka ijirudie tena juzi dhidi ya JKT Tanzania. Bila ile mistake ya yule beki, ngoma ingeenda kwenye mikwaju ya penati.Kama kichwa cha HabarI kinavyojieleza , kuna haja gani timu yenu kusajili wachezaji 30 , kama Ihefu tu nayo mnaweka kikosi cha kwanza utafikiri mnaenda kupambana na mnyama mkali simba? Au ni woga? Wapeni nafasi wachezaji wote waonyeshe vipaji vyao.
Acha kukariri ujingaKama kichwa cha HabarI kinavyojieleza , kuna haja gani timu yenu kusajili wachezaji 30 , kama Ihefu tu nayo mnaweka kikosi cha kwanza utafikiri mnaenda kupambana na mnyama mkali simba? Au ni woga? Wapeni nafasi wachezaji wote waonyeshe vipaji vyao.
Hata mie mikia huwa siwaelewi kbsKumbe ASFC timu zinatakiwa kuchezesha vikosi vya pili?? Sasa Prince Dube na Mbombo jana walikua wanatafuta nini kwenye kikosi cha Azam??
Upuuzi mtupu,Ya ngoswe muachie ngoswe. Hivi ukuwaona Mauya,Boxer,Mukoko,Ninja,Makambo,Yasini Mustapha n.k ,Mtakoma mwaka huuKama kichwa cha HabarI kinavyojieleza , kuna haja gani timu yenu kusajili wachezaji 30 , kama Ihefu tu nayo mnaweka kikosi cha kwanza utafikiri mnaenda kupambana na mnyama mkali simba? Au ni woga? Wapeni nafasi wachezaji wote waonyeshe vipaji vyao.