Hivi nyie wadada wa JF wazamani mpo kweli? Nimewamiss sana hata Leo tupo hapa irudi tu hamna namna

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Naomba kuwajulia hali zenu wadada wote wazamani hapa JF ukweli nimewamiss nashindwa kuwataja majina maana yule nitakayeanza naye wenzake wataanza kusema imekuwaje ujaanza jina langu??
Kwa nia njema najua wahenga tunajuana!Ila niombe ifanyike zing zong moja hata kijiwe kimoja tukumbushie raha za zamani ila hili nitaongea na Mtambuzi lara 1 madam boss Mayasa na yule mtoto wa basidei Mentor nakumbuka mdada mmoja Paloma na wengine wengi tujuliane hali au mnasemaje tuwajue na wapya Asprin unasemaje kuhusu hili au Jiwe Linaloishi nakumbuka haya makitu yalikuwaga poa sana!
Nahishia hapa.
 
Si ajabu kuna baadhi waliotangulia mbele za haki,who knows??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…