Hivi nyie wadada wa JF wazamani mpo kweli? Nimewamiss sana hata Leo tupo hapa irudi tu hamna namna

lara 1 = Money Penny
 
Nilikuwa kila nikijirejister inagoma nikijaribu inagoma nikaachana nayo tu siku ya siku ndio ikakubali

Asante dada akee na kwako pia [emoji120][emoji8]
Duuh. Pole sana. Mie nakumbuka haikunisumbua na nilijiunga kama masikhara. πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Yaan mm dada akee nilipata tabu jamani sijui shida nilikuwa nn kama mara 5 hivi inagoma nikasusa kabisa kama miaka miwili najisomea tu kama guest

Mwisho wa siku mwaka juzi nikasema ebu ngoja leo nijaribu naona i'd uliyoweka inatumika nikasema naona matumaini mazuri sasa nikaweka i'd kama mbili hivi zikanigomea nikakumbuka shunie jina la best friend wangu kitu na box nikasema mbona jf imenitesa hivi jamani
Duuh. Pole sana. Mie nakumbuka haikunisumbua na nilijiunga kama masikhara. [emoji23][emoji23]

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Duuh! Kweli ulipata tabu dada.

Ila ndio hivyo kila jambo huwa lina wakati wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…