[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
bora tu uumwe weekdays kila mtu yupo busy na ishu zake[emoji23]
Ndio mkuu, vyuma vimekaza.
Hahhahaha umeona eenh yaani kuumwa weekend ni shida halafu simu zinaingiaje sasa za kwenda sehemu kupata moja moto moja baridi huku una madawa yako
Ameen.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu unaumwa nn
Hapana mkuu, nilikiwa nakemea sa ndo namalizia nakutana na comment yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ulikuwa unakemea pepo la beer
[emoji23][emoji23] Shikamoo gambe apa nimeitamani ka heineken kangu kabaridiiii kanafuka moshi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana hii convo yenu
Abee
Acha kabisa gambe na iheshimiwe cc mumu @mzigua90
[emoji23][emoji23][emoji23] naona umeita wanachama
Hahahahaa.. Si ulinambia umeacha gambe lakini?
Ooh! ngoja niombe kibali kwaPole jamani mkuu vikilegea jilewee tu
Wengi wamebadilisha ID kwa sababu za kiusalama
....nilipata tabu jamani sijui shida nilikuwa nn kama mara 5 hivi inagoma nikasusa kabisa kama miaka miwili najisomea tu kama guest
Mwisho wa siku mwaka juzi nikasema ebu ngoja leo nijaribu naona i'd uliyoweka inatumika nikasema naona matumaini mazuri sasa nikaweka i'd kama mbili hivi zikanigomea nikakumbuka shunie jina la best friend wangu kitu na box nikasema mbona jf imenitesa hivi jamani
CC: FaizaFoxyNaomba kuwajulia hali zenu wadada wote wazamani hapa JF ukweli nimewamiss nashindwa kuwataja majina maana yule nitakayeanza naye wenzake wataanza kusema imekuwaje ujaanza jina langu??
Kwa nia njema najua wahenga tunajuana!Ila niombe ifanyike zing zong moja hata kijiwe kimoja tukumbushie raha za zamani ila hili nitaongea na Mtambuzi lara 1 madam boss Mayasa na yule mtoto wa basidei Mentor nakumbuka mdada mmoja Paloma na wengine wengi tujuliane hali au mnasemaje tuwajue na wapya Asprin unasemaje kuhusu hili au Jiwe Linaloishi nakumbuka haya makitu yalikuwaga poa sana!
Nahishia hapa.