Hivi nyie wadada wa JF wazamani mpo kweli? Nimewamiss sana hata Leo tupo hapa irudi tu hamna namna

Hivi nyie wadada wa JF wazamani mpo kweli? Nimewamiss sana hata Leo tupo hapa irudi tu hamna namna

[emoji23][emoji23] Jamani umenifanya mpaka na mm nimecheka ujue uko poa lakini mbebe wangu wa insta
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vizur kama umecheka maana umeongeza siku za kuishi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...

niko poa kabisa insta bebe sijui ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Insta bebe wangu mm niko poa sana yaani sana
mefurahi kusikia uko poa..... maana me huwa naona hakuna siku muhimu kuwa poa kama weekends ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... ukiumwa weekend unaweza ukajikuta unapitwa na mambo mengi sana kuliko ukiumwa weekdays
 
Hahhahaha umeona eenh yaani kuumwa weekend ni shida halafu simu zinaingiaje sasa za kwenda sehemu kupata moja moto moja baridi huku una madawa yako
mefurahi kusikia uko poa..... maana me huwa naona hakuna siku muhimu kuwa poa kama weekends [emoji23][emoji23]... ukiumwa weekend unaweza ukajikuta unapitwa na mambo mengi sana kuliko ukiumwa weekdays
 
Hahhahaha umeona eenh yaani kuumwa weekend ni shida halafu simu zinaingiaje sasa za kwenda sehemu kupata moja moto moja baridi huku una madawa yako
hahah.. me ikitokeaga hivyo huwa nazima simu kabisa sitakagi shida ya kujiumiza roho ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au yakuanza kuuliza hivi dawa fulan ukinywa baada ya masaa mangapi unaweza kupiga vyombo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Miaka hiyo alikuwepo Lizy sijui alifia wapi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Yaani wewe ni mimi kabisa kuna rafiki yangu anapata shida nikiwa kwenye dozi kumsumbua hivi namaliza leo kesho naweza kunywa au inakuwaje
hahah.. me ikitokeaga hivyo huwa nazima simu kabisa sitakagi shida ya kujiumiza roho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au yakuanza kuuliza hivi dawa fulan ukinywa baada ya masaa mangapi unaweza kupiga vyombo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah mambo gan ya kutoa siri
Hahaha kama hii ni kweli basi hizi ID zina nguvu sana... Huwezi amini nilimpenda sana Miss Chaga ila huyu Demiss alikuwa ananichefua mno ni vile tu sikutakaga kuingia kwenye anga zake.... Kipi nilikipenda kwa Miss Chaga, kipi kiliniboa kwa Demiss hata sijui
 
Hivi zamani ni kuanzia lini Dada?

Yawezekana na mie nikawemo. [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi ambazo Watu8 alikuwa star humu ndani ulikuwepo? Au enzi ambazo Matola na @Lara1 walikuwa wapenzi ulikuwepo? Kama ulikuwepo enzi hizo basi inakuhusu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Yaani wewe ni mimi kabisa kuna rafiki yangu anapata shida nikiwa kwenye dozi kumsumbua hivi namaliza leo kesho naweza kunywa au inakuwaje
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚....

bora tu uumwe weekdays kila mtu yupo busy na ishu zake๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom