Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Samahani jamani haikuwa nia yangu [emoji20]umeniharibia swaumu yangu ww....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani jamani haikuwa nia yangu [emoji20]umeniharibia swaumu yangu ww....
umesahau urojoHiyo ni misosi ya Wazungu.
Sisi Wanaume wa Dar tunakula embe kwa chumvi na limao. Chipsi zege, Mahindi ya kuchoma na pilipili, mchicha wa bonde la msimbazi, pweza na chachandu, ngisi, supu ya maharage na chapatti nk.
Karibu D'aslam......Huku Viongozi wako wakuu ndipo wanapoishi.
Hujawahi kuona kwenye tafrija zetu tunakunywa juice kwa pipi?
Kalaghabaho
MI pizza baga ,soseji vyote siliiiiii na Sijawah pata hamu, nilionja vyote vikanishindaa
YappMhhhh! Hongera zako kwa kucheza mbali na junk food. Mie hivi vyakula hata ile hamu ya kusema leo natamani junk food sijui pizza na uchafu gani mwingine sina.
Vyakula vyetu vya kibongo bomba sana.
Juzi nmekula boonge la pizza hadi nikabeba take away, asubuhi nikala kiporo, leo tena eti natamani pizza..... Niazime elf 15 hapoMhhhh! Hongera zako kwa kucheza mbali na junk food. Mie hivi vyakula hata ile hamu ya kusema leo natamani junk food sijui pizza na uchafu gani mwingine sina.
Vyakula vyetu vya kibongo bomba sana.
Juzi nmekula boonge la pizza hadi nikabeba take away, asubuhi nikala kiporo, leo tena eti natamani pizza..... Niazime elf 15 hapo
You must be good kwenye majambo fulani fulani, Type of food you eat says it all.Dah! Bora nimepata mwenzangu. Haya mauchafu huwa siyafagilii hata kidogo. Huwa nashangaa sana nikiona watu wanavyohehuka nayo. Niwekee ugali wangu na samaki wa kukaanga mchicha chukuchuku au wa nazi, pilipili debe na gudulia langu la maji roho yangu KWATUU.
Pizza ni nini?....sisi wengine washambaKila mmoja anacho anachopenda na asichokipenda. Kama hupendi pizza wengine hawapendi burger.
Roho hutamani na hukinai.
Doh ntaenda huko Saverio na Boogie Woogie nijaribu nioneUnapenda burger af unamshangaa anaependa pizza..smh..ni vyakula jamii moja,. perhaps hukupata mpishi mzuri,try Saverio Mikocheni na Boogie Woogie Mbezi Beach...Pizza Hut sikushauri bei kuubwa af pizza mbaya
Usifanye nkaanza kumnyapia nyapia BAK kwa pmYou must be good kwenye majambo fulani fulani, Type of food you eat says it all.
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah umenikumbusha mbali kuna siku nilikula tena kipande kidogo tu.... We balaa lake sasa nilikaa week nzima sijashuha mzigo..Mkikosa choo mnahangaika kwa Mzizi Mkavu kwa sababu ya ma junk food