Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Hiyo ni misosi ya Wazungu.
Sisi Wanaume wa Dar tunakula embe kwa chumvi na limao. Chipsi zege, Mahindi ya kuchoma na pilipili, mchicha wa bonde la msimbazi, pweza na chachandu, ngisi, supu ya maharage na chapatti nk.

Karibu D'aslam......Huku Viongozi wako wakuu ndipo wanapoishi.
Hujawahi kuona kwenye tafrija zetu tunakunywa juice kwa pipi?

Kalaghabaho
umesahau urojo
 
sea food pizza....si nikaweka oda mwanangu....baada ya kuletewa nilitamani nimkabe muhudumu nchukue mpunga wangu...
 
Mhhhh! Hongera zako kwa kucheza mbali na junk food. Mie hivi vyakula hata ile hamu ya kusema leo natamani junk food sijui pizza na uchafu gani mwingine sina.

Vyakula vyetu vya kibongo bomba sana.
Yapp
 
Mhhhh! Hongera zako kwa kucheza mbali na junk food. Mie hivi vyakula hata ile hamu ya kusema leo natamani junk food sijui pizza na uchafu gani mwingine sina.

Vyakula vyetu vya kibongo bomba sana.
Juzi nmekula boonge la pizza hadi nikabeba take away, asubuhi nikala kiporo, leo tena eti natamani pizza..... Niazime elf 15 hapo
 
Mimi napenda kiburu , Mlaso, kitawa ,ngararimu ,mafido, nduu, mashimbia ,ipakado ,
 
Dah! Bora nimepata mwenzangu. Haya mauchafu huwa siyafagilii hata kidogo. Huwa nashangaa sana nikiona watu wanavyohehuka nayo. Niwekee ugali wangu na samaki wa kukaanga mchicha chukuchuku au wa nazi, pilipili debe na gudulia langu la maji roho yangu KWATUU.
You must be good kwenye majambo fulani fulani, Type of food you eat says it all.
 
Mademu wanapenda sana hi kitu
b18d88d553d5112d970a844f7cb56b4f.jpg
 
Unapenda burger af unamshangaa anaependa pizza..smh..ni vyakula jamii moja,. perhaps hukupata mpishi mzuri,try Saverio Mikocheni na Boogie Woogie Mbezi Beach...Pizza Hut sikushauri bei kuubwa af pizza mbaya
Doh ntaenda huko Saverio na Boogie Woogie nijaribu nione

Nilikula za Pizzahut siku moja siwezi kirudia tena, n mbayaaaaaa
 
Mkikosa choo mnahangaika kwa Mzizi Mkavu kwa sababu ya ma junk food
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah umenikumbusha mbali kuna siku nilikula tena kipande kidogo tu.... We balaa lake sasa nilikaa week nzima sijashuha mzigo..
Kilichofuata Itv...... Hosp
 
Back
Top Bottom