Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Umenikumbusha vijiwe vya pizza Dar, Mwanza na A town.! mie nagonga pizza aina yeyote,burgers na mazagazaga ya salads nayapiga kama mnyama mbuzi vilee.!
 
Binafsi sizifungii pizza safari ila kuna nchi fulani nilikwenda huko hawana ugali ma wali wao mboga za mashaka basi ndio nikawa nazila hizi pizza ili nisife njaa.
Nalog off
 
Unapenda burger af unamshangaa anaependa pizza..smh..ni vyakula jamii moja,. perhaps hukupata mpishi mzuri,try Saverio Mikocheni na Boogie Woogie Mbezi Beach...Pizza Hut sikushauri bei kuubwa af pizza mbaya
 
Junk food burger,pizza
U'junk wa pizza ama burger ni upi?
Ngano/mkate,nyama na mbogamboga ni junk?.,actually ni balanced diet yenye carbs,protein vitamins na fats
Junk ni vitu purely kutoka viwandani..
 
Habari yenu Wakuu,

Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar, nikagundua pizza sio chakula ambacho kinanifaa. Ni chakula cha hovyo kwangu wala siwezi kuwa na hamu nacho.
View attachment 470203
Hivi ni nini kinawafanya Mpende Pizza hadi mnashindwa kulala?

Naomba mnambie pizaa ina nini hasa hadi iwateke akili.

Mimi mwenzenu napenda Burger. Mabaga Mabaga ndo mwake. Nakula hadi najilamba vidole.

Halafu niwe na Pepsi bariiidiiii...acha kabisa.
View attachment 470207
View attachment 470208
Napenda Burger
Kwani baga zina nn
 
Hivi huu UCHACHU ni sehemu ya LADHA yake ama ni mimi tu huwa NAKUMBANA na zilizo kaa kwa muda mrefu...!!?

Yaani hapa tu NDIO huwa naitoa THAMANI Pizza..
 
Back
Top Bottom