Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Ushushie na Chai yenye viungo..utamu kunogaMie nikipata boga la motoooo safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushushie na Chai yenye viungo..utamu kunogaMie nikipata boga la motoooo safi sana
Dah! umekamilisha mlo wangu vyema kabisaUnasahauje maziwa ya mtindi hapo kwenye hiyo Dona + Dagaa + Tembele
Hakuna mwanaume asiekula papuchi wewe..
Papuchi tunakulaga ile kisela lakini... Kwa siri sana.
nikila piza au bags naharisha sana yani filimbi tupu maliwtoni had I aibuUshanitia hamu ngoja nikale pizza mda huu na coke bariiidii
U'junk wa pizza ama burger ni upi?Junk food burger,pizza
Kiongozi hapa sasa unadhalilisha Kanisa Katoliki, tuheshimu imani za watu wengine.Hakuna mwanaume asiekula papuchi wewe..
Papuchi tunakulaga ile kisela lakini... Kwa siri sana.
Kwani baga zina nnHabari yenu Wakuu,
Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar, nikagundua pizza sio chakula ambacho kinanifaa. Ni chakula cha hovyo kwangu wala siwezi kuwa na hamu nacho.
View attachment 470203
Hivi ni nini kinawafanya Mpende Pizza hadi mnashindwa kulala?
Naomba mnambie pizaa ina nini hasa hadi iwateke akili.
Mimi mwenzenu napenda Burger. Mabaga Mabaga ndo mwake. Nakula hadi najilamba vidole.
Halafu niwe na Pepsi bariiidiiii...acha kabisa.
View attachment 470207
View attachment 470208
Napenda Burger
We mshambaMimi pizza hapana jamani siipendi kabisa ila burger napenda sana.
sijui huu uzi umetoka wapi mda wa lunch? afu watu walivyo siyo wastaarabu wanaweka picha
umeniharibia swaumu yangu ww....Teh!, wanatamanisha haswa!