Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
 
1000012670.jpg
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Bila shaka wewe ni jike dume
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Ukute aliyeandaka haya ni mwanaume!
 
Kwani kwenye uchumba hujajua?
Wengi kwenye uchumba hujua ila hutaka waolewe nao ili wawapossess na kuwacontrol...bila kusahau maisha mnaishi kama partiners kuna kuchekeshana kidogo, kutaniana, kupiga story na mengine mengi. Sasa wanaangalia aspect moja ya kulicontrol jamaa kwa kuwa ni zoba...sasa unaona mdada anatamani aliyechangamka...ikiwa hivi mdada lazima akatafute mjanja na mchangamfu nje.
 
Fanya hivi we achana na hilo dubwana lako njoo kwa sisi tunaokunywa Heineken na mapombe mengine ila hua tunarudi home saa 10 ya alfajiri kuna siku chombo kikikolea ni saa 12 gari linapajua kwao.... Bwana ako sio mwizi msameheee bure perry....
 
Back
Top Bottom