TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
PAMBANA NA JANAUME LAKO KAMA MAMA YAKO ALIVYOPAMBANA NALA KWAKE USITUFOKEE !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@To yeyeHuyu ni to yeye kapata mpenzi mwalimu mwenzie
Unarudi saa 12 na unapokelewa?Fanya hivi we achana na hilo dubwana lako njoo kwa sisi tunaokunywa Heineken na mapombe mengine ila hua tunarudi home saa 10 ya alfajiri kuna siku chombo kikikolea ni saa 12 gari linapajua kwao.... Bwana ako sio mwizi msameheee bure perry....
Taabu kweli kweli ukiwa busy ni shida ukikosa cha kukufanya uwe busy nayo shida. Ukichelewa kurudi tabu, ukiwahi napo tabu yaani kueleweka kwao n ngumu.Ukikaa mbele wanataka ukae nyuma, ukikaa nyuma wanataka ukae mbele!!
Na ukikaa kati ni haiwezekani 😁😁
Kifupi mwanamke haeleweki
Kwanini nisipokelewe dada akifungua nalala sebleni tu ila hii hua ni wekeend tuuuUnarudi saa 12 na unapokelewa?
Ni kweli hakuna mwanamke anapenda mwanaume anarudi nyumbani mapema.ila kurudi asubuhi aisee unamuumiza.sanamwenzio.rudi hata saa sita saba.sio fairKwanini nisipokelewe dada akifungua nalala sebleni tu ila hii hua ni wekeend tuuu
🤣OkeeHuyu ni to yeye kapata mpenzi mwalimu mwenzie
Ok mkuu ni stor ya kuchangamsha trhreadNi kweli hakuna mwanamke anapenda mwanaume anarudi nyumbani mapema.ila kurudi asubuhi aisee unamuumiza.sanamwenzio.rudi hata saa sita saba.sio fair
😀 😀 😀 😀 😀 duuhAfu asilimia kubwa ya wanaume wa hivyo wanawaza kuua tu....ogopa sana
Serious😀 😀 😀 😀 😀 duuh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muwe muna eleweka sasa jaman na mtubadilishie jina sahzi sisi n fisi sio mbwaSerious
Machepele na mwenye fujo kama Mimi itaniweza sasa?Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.
Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.
Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muwe muna eleweka sasa jaman na mtubadilishie jina sahzi sisi n fisi sio mbwa
Bado ni K hiyo mkuuUnabwabwaja ukute chini kwenyewe manayama yana-ning'inia Kama pazia za wodini.