Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Mmmmh, ama kweli umetuchoka! Ila siri moja mama nikwambie, pamoja na uzubaifu wetu na manguo yetu ya vitenge ila tunajua kugegeda usiombe!!😁😁😁
 
Hakuna Kupoa MisheMishe
FB_IMG_17319904669715504.jpg
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Naendelea kuamini kuwa akili ni nywele........ kila mtu ana zake. Pia ni ukweli ulio wazi kuwa wanadamu wengi hasa jinsia ke hawaridhiki kirahisi, hata ukijitahidi vipi.......
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Kuna muda nahisi mwanamke ndugu yake na Ibilisi.
Yani hawa ni viumbe wasiojua nini wanataka.
Ukiwa hauna kazi atakwambia sitaki mwanaume asiye na kazi,ukiwa na kazi na ukawa bize atasema namuhitaji mwanaume anayeweza kunipa muda sio yuko bize tu muda wote.
Ninyi mishipaa mnatakaga niniii!????
 
Back
Top Bottom