Tulikuwa tunalipa 60000 kwa unit moja .kwa mwaka kama 1m kwa miaka 3.Changamoto ni wkat wa mitihan lazma uwepo physicallyAsante Mkûu. Vipi gharama?
Huyo ni limbukeni.Nimepga udsm BA nakaenda kupiga LLB open.Kuna mdau humu hukiita chui hicho "chuo cha memkwa"
Tulikuwa tunalipa 60000 kwa unit moja .kwa mwaka kama 1m kwa miaka 3.Changamoto ni wkat wa mitihan lazma uwepo physically
Kuna jamaa kamaliza hapo, kitivo cha sheria ila mpaka sasa yupo benchi, sijui kuna nini!
Na mwabukusi piaIpo kitambo sana miaka zaidi ya 20 iliyopita kuna mtu namfahamu aligraduate LLB ,simbachawene,ndugai,jerry slaa wamesoma LlB hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdau humu hukiita chui hicho "chuo cha memkwa"