Hivi Open University Hapa Tanzania kinatoa Degree ya Sheria?

Hivi Open University Hapa Tanzania kinatoa Degree ya Sheria?

Kuna jamaa kamaliza hapo, kitivo cha sheria ila mpaka sasa yupo benchi, sijui kuna nini!
 
Uhakika mbona na comfortability ya kusoma ipo unatenga muda wako wa kusoma unaotaka wewe hata kama una majukumu mengine unaweza kufanya yote.
 
Hata mimi ni bachelor ya Taaluma ya Uchumi pia ni muajiriwa. Natamani sana kusoma sheria, hivyo ningpenda kufahamu muda wa kusoma na muda gani.
 
Back
Top Bottom