Hivi Padri mtuhumiwa wa ubakaji na yeye ana Wakili?

Mi nawaza tuu makosa mengine ningekua wakili ningekua nakataa kumteteq mteja
Uwakili ni biashara kama zilivyo biashara zingine.
Na utetezi unaofanywa ni kwa technic za kisheria, yaani kuchallenge mashitaka na waandika mashitaka.
Maelezo ni marefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…