Hivi Padri mtuhumiwa wa ubakaji na yeye ana Wakili?

Hivi Padri mtuhumiwa wa ubakaji na yeye ana Wakili?

Sawa. Ila mara nyingi haki hupindishwa huko mnakoita mahakamani.
Basi chukua gun ukamuue mwenyewe kama hutaki mahakama. Nawe ukishaua wasikupeleke mahakamani wakuue ukouko mtaani maana unataka lifestyle ya Colombia
 
Basi chukua gun ukamuue mwenyewe kama hutaki mahakama. Nawe ukishaua wasikupeleke mahakamani wakuue ukouko mtaani maana unataka lifestyle ya Colombia
Mbona kama umepanick?.hapa ni jukwaa huru kila mtu ana maoni yake kama yangu hujayapenda unapita kushoto. Maneno yangu mimi sio kwamba yatabadili utaratibu uliopo so relaax kesi inaendeshwa kama unavyotaka. Ila adhabu kali itolewe sehemu salama kwa watt na jamii ilikua ni kanisani na misikitini ila kwa sasa ni kama imani inaenda kupotea.
 
Mwanangu kipenzi...sitaki nimtetee huyu Padri lakini ninakupa angalizo.

Hizi huduma zinafitina nyingi.
Huenda hata alikula mke wa muumini akatengenezewa zengwe au wivu wa kihuduma.

Haya yapo.

Kuna padri Moshi alikuwa anafadhili watoto wa mafukara huwezi amini alitengenezewa mtego kupiyia binti mmojawapo anayemfadhili ili atengenezewe skendo.
Mtego wa kwanza ulifeli alishtuka kabinti kanaomba kaje kumsalimia wakati walikizo lkn anataka wakutane hotelini.

Hii akaishinda ikaundwa mbinu nyingine nzito zaidi.

Wanadamu waache kama walivyo.

Lakini kama huyu kahusika basi sheria ifanye kazi.
Ndio atatetewa akitaka na ni haki yake kupata wakili
Mazegwe kwenye hizi huduma kweli yapo.

Kuna mdau hapo kasema wanaume tuwe makini sana na watoto wa kike, hasa below 18 itasaidia kukuondolea kadhia maishani.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Mazegwe kwenye hizi huduma kweli yapo.

Kuna mdau hapo kasema wanaume tuwe makini sana na watoto wa kike, hasa below 18 itasaidia kukuondolea kadhia maishani.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Hivi umesikiliza maelezo ya mtoto kuwa aliambiwa afunue sketi jamaa kaweka ametulia tu?

Eti alipofika nyumbani akamsimulia mama kuwa Padri amemfanya mambo ya wakubwa? Kikawaida tu?
Wala halii?
Hakupiga kelele za msaada?
Hakukabwa?
Hiki kizazi kimeoza
 
Uwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?

Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.

Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.

Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.

Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.
Kimsingi kila mtu ana haki ya kuwa na wakili kwa sababu kila mtu ana haki ya kikatiba ya kuchukuliwa kuwa hana hatia mpaka pale itakapothibitishwa na mahakama kwamba ana hatia.

Sasa, mtu kutuhumiwa ubakaji si lazima awe mbakaji kweli, ndiyo maana anaitwa mtuhumiwa. Inawezekana amesingiziwa.

Tunampa mtuhumiwa ubakaji nafasi ya kuwa na wakili ili ahukumiwe kwa haki, akiwa na utetezi unaotakiwa kisheria.

Ukiwa na mbakaji -tuseme huyu ni mtuhumiwa wa ubakaji ambaye kabaka kweli-, halafu huyo mbakaji akahukumiwa bila utetezi wa wakili, umeacha mwanya kwa mbakaji huyo kujitetea kwamba amehukumiwa bila kupewa haki yake ya kutetewa na wakili. Yani mnamhukumu mbakaji, hqlafu anawaletea figisu za kusema kaonewa kwa kuwa hakupewa wakili.

Sasa, katika kumpa haki yake na kuondoa nafasi yoyote ya mtu kusema kahukumiwa kwa uonevu, hapo ndipo hata mbakaji anapewa wakili.
 
Ni mara ngapi sheria inapindishwa hata kama ushahidi ni wa ukweli? Mimi nasema kama ushahidi upo basi sheria ichukue mkondo wake yani pasiwe na kuchelewesha hukumu.
Sheria kuchukua mkondo wake ndiyo hivyo lazima mtu awe na wakili.

Mtu akihukumiwa bila kupewa nafai ya kuwa na wakili ni uvunjaji wa sheria na haki za kikatiba.

Kwa hivyo, unavyozema sheria ichukue mkondo wake, sheria kuchukua mkondo wake ni pamoja na kila mtuhumiwa kuwa na wakili.

Kumbuka kuwa kila mtu anachukuliwa kwamba hana hatia mpaka mahakama impate na hatia (presumptionnof innocence clause). Hii ni haki ya kikatiba.

Ukisema sheria ifuate mkindo wake bila kumpa mtuhumiwa haki ya kuwa na wakili, ni sawa na useme sheria ifuate mkindo wake kwa kuvunja sheria.

That is a contradiction.
 
Padri anajulikana anafanya hivyo vitendo hata mapdri wenzie wanajua. Awajibishwe aache kutuchafulia watoto na kanisa

Sasa kama inajulikana na watu, mbona hakuwahi fikishwa kwa pilato hapo kabla?
 
Mi hata mtoto sipeleki madrasa nawaogopa wanaume ,sijui mmekuwaje mashetani kabisa
 
Uwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?

Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.

Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.

Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.

Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.
Mama D Mbona umepiga kimya?
 
Sheria kuchukua mkondo wake ndiyo hivyo lazima mtu awe na wakili.

Mtu akihukumiwa bila kupewa nafai ya kuwa na wakili ni uvunjaji wa sheria na haki za kikatiba.

Kwa hivyo, unavyozema sheriq ichukue mkondo wake, sheria kuchukua mkondo wake ni pamoja na kila mtuhumiwa kuwa na wakili.

Kumbuka kuwa kila mtu anachukuliwa kwamba hana hatia mpaka mahakama impate na hatia (presumptionnof innocence clause).
Sawa mkuu
 
Sheria kuchukua mkondo wake ndiyo hivyo lazima mtu awe na wakili.

Mtu akihukumiwa bila kupewa nafai ya kuwa na wakili ni uvunjaji wa sheria na haki za kikatiba.

Kwa hivyo, unavyozema sheriq ichukue mkondo wake, sheria kuchukua mkondo wake ni pamoja na kila mtuhumiwa kuwa na wakili.

Kumbuka kuwa kila mtu anachukuliwa kwamba hana hatia mpaka mahakama impate na hatia (presumptionnof innocence clause). Hii ni haki ya kikatiba.

Ukisema sheria ifuate mkindo wake bila kumpa mtuhumiwa haki ya kuwa na wakili, ni sawa na useme sheria ifuate mkindo wake kwa kuvunja sheria.

That is a contradiction.
Dawa ya mawakili ni TLS.
 
Back
Top Bottom