Mali nyingi zimepatikana kidhulma dhulma hakuna mzazi anapenda mwanae afuate mkondo wake.. ni watu kam wachaga ndio wanaweza kuwaambia watoto wao kuwa tunapita hivi tunadhulumu vile..ila ni wachache bado wengi hawataki kabisa watoto au familia zao zijue chochote..Hii ni point. Washua wengi wana uhalifu nyuma ya mali zao.
Sasa mkuu wewe ni tajiri? Au custodian ya mirathi
We graduate, jibu suali langu plz wewe ni tycoon or custodian wa mirathi kwa niaba ya wenzako?Hii mada yako umeitoa wapi? Mimi nimejibu mada, ya mirathi ya wazaz. Nimetoa mfano. Hayo maswali mengine hayahusu, alafu nikueleze mimi nimesoma, laiti mzee angetuacha hovyo, wote tungedondoka, na tusingefika hapa tulipo. Kuna shares, kuna vitu hata hatujavigusa hadi leo na vyte pesa. Yaani vinaendelea na ni vya mshua, kabla sijawa vizuri tayari nyumba mzee aliacha inameremeta
Ndio umesema kweli mkuu,tatizo tunawapa samaki watoto wetu badala yakuwafundisha kuvua,ili wavue wenyewe,,hivyo hivyo kwa wake zetu,hilo ni tofauti sana na wenzetu wahindi.Hii ipo sana kwa sisi weusi kwa sababu huwa hatuwi karibu na biashara za wazazi kwani huwa tunaridhika kwa kudhania wazazi wataendelea kuwepo tu.
Kingine biashara nyingi zina vitu vingi nyuma ya pazia ambavyo wamiliki huwa hawako tayari kuviweka wazi kwa watoto au warithi.
Mwisho, malezi mabovu ya kuwadekeza watoto kitu ambacho kinawafanya wajenge mentality ya kuhudumiwa na siyo kupambana kutafuta.
Nakuombea kila la kheri kwa hiloHongera kwa kua na mtizamo huo, nchi 32 sio habah wengine hatufikishe hata nchi 10, ila mimi navojua maisha ya ughaibuni ni sacrifice tupu, ukistaafu jitahidi ku-enjoy pesa yako hamna atakae hurumia japo unataka ku-retire na kuishi foreign land ni maaumivu mengine, .....
Am just thinking of my retirement package of having 100 acre of land within the vicinity of the city not more than 40km, have some livestock running water power source Internet communication, then I shift with my second 29years old wife who is still vibrant en energetic to care me en farm, then I sit to wait Allah's call (death)
Mwezi wa 4 nitakua hapo uingereza nakuja kucheki game EmiratesNakuombea kila la kheri kwa hilo
Kukaa shamba karibu na mjini ni wazo zuri sana ila usalama utakuwa mzuri?
Utahitaji vijana kama watono au zaidi wa kufanya shughuli zote na wewe ukiwa muangalizi wa juu
Kumbuka ukiweka mifugo utataka na kuwatafutia lishe ambapo itabidi ulime kwa ajili ya kuwalisha hao mifugo
Nawe utataka bustani pia ya mbogamboga
Kadri unavyoishi utaweka na kuku mara utamani bwawa la samaki ili uwe unatafuna mara moja moja
Nimewaza sana kuhusu maisha hayo ila nikawaza pia Ulaya lakini sio hapa nilipo maana hata waingereza wenyewe wakistaafu hawakai hapa
Spain au Italy na hata France hali ya hewa ni nzuri na unapata nyumba na shamba kwa thamani chini ya 3 bed ya UK
Hata Spain unapata shamba na nyumba mkuu na amani tele
Hongera kwa kua na mtizamo huo, nchi 32 sio habah wengine hatufikishe hata nchi 10, ila mimi navojua maisha ya ughaibuni ni sacrifice tupu, ukistaafu jitahidi ku-enjoy pesa yako hamna atakae hurumia japo unataka ku-retire na kuishi foreign land ni maaumivu mengine, .....
Am just thinking of my retirement package of having 100 acre of land within the vicinity of the city not more than 40km, have some livestock running water power source Internet communication, then I shift with my second 29years old wife who is still vibrant en energetic to care me en farm, then I sit to wait Allah's call (death)
Hiyo ndo mipango yenyewe kua na vijana zaid ya wa tano siku zote natamani kufanya biashara isio kua na usumbufu wa TRA, na inanifanya niwe busy akili isilali kabisa......Nakuombea kila la kheri kwa hilo
Kukaa shamba karibu na mjini ni wazo zuri sana ila usalama utakuwa mzuri?
Utahitaji vijana kama watono au zaidi wa kufanya shughuli zote na wewe ukiwa muangalizi wa juu
Kumbuka ukiweka mifugo utataka na kuwatafutia lishe ambapo itabidi ulime kwa ajili ya kuwalisha hao mifugo
Nawe utataka bustani pia ya mbogamboga
Kadri unavyoishi utaweka na kuku mara utamani bwawa la samaki ili uwe unatafuna mara moja moja
Nimewaza sana kuhusu maisha hayo ila nikawaza pia Ulaya lakini sio hapa nilipo maana hata waingereza wenyewe wakistaafu hawakai hapa
Spain au Italy na hata France hali ya hewa ni nzuri na unapata nyumba na shamba kwa thamani chini ya 3 bed ya UK
Hata Spain unapata shamba na nyumba mkuu na amani tele
Mmh!! Uingereza ya wapi mkuu?Mwezi wa 4 nitakua hapo uingereza nakuja kucheki game Emirates
SijuiMmh!! Uingereza ya wapi mkuu?
Karibu sana MkuuMwezi wa 4 nitakua hapo uingereza nakuja kucheki game Emirates
Haswaa peace of mindHiyo ndo mipango yenyewe kua na vijana zaid ya wa tano siku zote natamani kufanya biashara isio kua na usumbufu wa TRA, na inanifanya niwe busy akili isilali kabisa......
Kabisa mkuuKaribu sana Mkuu
Maisha yenyewe mafupi haya
Mkuu umeongea la maana sanaaaKatika maisha yako usije akawa na matumaini mengi kwa watoto wako na mkeo, usijiumize sanaa eti unatengenezea watoto wako future watakuangusha tu......wafundishe maisha yao sio kuwatengenezea maisha hao hawakujua jinsi mali inavo tafutwa.
Huna pesa Wala mali weweMkuu umeongea la maana sanaaa
Imagine mtu unatafuta pesa unajibana et unawatengenezea watoto maisha mazuri matokeo yake ndo hayo Kiukweli mimi naona ni upumbavu bora uwafundishe njia ya kujipambania wenyewe ili wawe na uchungu nazo
Pesa zangu ni zangu na ntakula mwenyewe watoto watapata mahitaji yao sio mali za urithi