Beki wa Yanga aliyejifunga gori..Ndiyo nani?
Sent from my IPhone 12 using Jamiiforums App
Jamaa mtu wa vyombo na kukimbiza mwenge kwa saana tu.Njoo hapa Kunduchi Jirani na Chuo cha Jeshi kuna Bar inatazamana na Njia ya kwenda jeshini utamkuta Kajaa TELE.
Green Palm PubNjoo hapa Kunduchi Jirani na Chuo cha Jeshi kuna Bar inatazamana na Njia ya kwenda jeshini utamkuta Kajaa TELE.
Huyu mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Jahazi,Paul James maarufu kwa PJ ni muda kidogo simsikii, takriban mwezi unakatika kwa sasa. Ni watangazaji wawili tu Gardner G Habash na Joji Bantu ndiyo wanafanya kipindi wenyewe.
Je, huyu mwenzao kapatwa na nini au yuko wapi mwenye kujua atujuze tafadhali?
Kukimbiza Mwenge umeniacha mkuu.Jamaa mtu wa vyombo na kukimbiza mwenge kwa saana tu.