Hivi PJ, mtangazaji wa Clouds FM, alienda wapi?

Hawaruhusiwi hata kwenda likizo?
Yuko sengerema kwa mama yake
 
Acheni utoto....mtu ameanza kunywa pombe miaka 100 leo ndiyo iwe ishu?.
Kwa hadhi aliyokuwa nayo na sauti aliyokuwa nayo sasa hivi angekuwa yupo DW,BBC swahili.Ila pombe zinamrudisha nyuma,hata kama akiwa na miaka 1000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…