Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Hujui hip hopHebu karudie kuudikilize huo wimbo then andika tena uzi wako......anyway "skuhizi bongo sio hiphop, bongo ni singeli".......I can't blame you
Hata niskiluze mala laki tano.ni mbayaaacha mziki ili agundue nini??
mkuu wakati unaisikiliza ile ngoma ulikuwa kwenye daladala au hukua free
hebu tulia kwa makini uisikilize vizuri
Sijasema prof sio mkali,Atakuwa ameanza kufatilia mziki siku za karibuni tulioanza zamani Tunaelewa moto wa huyu HW MC.
Tunanena lugha moja wewe,Toka aanze kuimba nini sijui kamili gado ndio nikaacha kumsikiliza ,nimemzoea kwenye ngoma kama piga makofi ...
Ahangaike na ubunge tu aachane na mziki
Tatizo mnakurupuka kucoment bila kusoma vizuri uziJina langu linavuma kwenye mitaa
Jina langu lina hadhi ya kisupa staa
Jina langu linaongeza idadi ua maadui
Wengine nawajua wengine siwatambui.
Acha masiara wewee,nigga jay hajawahi toa nyimbo mbaya
Atakua mpyaMkuu huyo plof jay ni msani mpyaa
Hebu toa yako mkuu.Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Lakini wale wasanii wa ccm wanajielewa si ndio? Wewe mda wote unafikiria tu kuitetea ccmsugu na prof j hawajielewi kabisa bange zimewawehusha
HahHahaaaa...Duh,haya mahaba ni kiboko,unaipenda kabla ya kuisikia[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeandika nini hapa? Mnatuharibia kiswahili nyie watotoProf j mzik aliimba zaman
Co sasa .now anawasindikiza underground
AahahahDuh,haya mahaba ni kiboko,unaipenda kabla ya kuisikia[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una matatzo ya masikio labda.. Nenda kasikilize kokoro kama haumuelewi prof sababu hiyo ndo itakufaaLeo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Hujui hip hopUna matatzo ya masikio labda.. Nenda kasikilize kokoro kama haumuelewi prof sababu hiyo ndo itakufaa
Mimi nina kazi gani mkuuMwache aendelee na huo huo mziki maana kazi yako hataiweza ya kabisa.