Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

Badala ya kumshauri aache mziki mimi nakushauri uache kumsikiliza.
 
Au nyie ndo mlipanda mabasi kwa mabasi kwenda kupinga ubunge wake? , ila nimemsikia anasema kesha wasamehe na akasisitiza kazeni buti wanangu.
Sio kosa lako nakusamehe,,ni kosa la kusujudia binadamu mwenzako
 
Kwanza unajua proffesor anaimba aina gani ya hiphop
Ndio maana nimesema hujui hip hop na hata misingi yake huijui,! Kwa hiyo hip hop ina aina zake[emoji1] [emoji1] [emoji1] nyie watoto mliozaliwa kipindi cha mkapa mna tabu sana
 
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Wewe ni wakuchapa kihuni maana hauna maaana mayo zaki
 
Sio la zima wore tuwe wanamuziki. Unaeza kua mwanamuziki baadae ukawa shabiki tu wakusikiliza ngoma za wwnzako
 
Duh!! We jamaa utakuwa unazimia flavor za kina Young Killer!! Yaani unathubutu kusema Kibabe ni ya kawaida?!
 
Back
Top Bottom