juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
- Thread starter
- #81
Bongo kila mtu ni mjuajiUsiseme ngoma ni mbaya sema hujaielewa, hakunaga muziki mzuri wala mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo kila mtu ni mjuajiUsiseme ngoma ni mbaya sema hujaielewa, hakunaga muziki mzuri wala mbaya
Kumbe huna unawezaje kusema aache??mwache aimbe maana hawez kukaa nila kazMimi nina kazi gani mkuu
aaa usibadilishe mada wewe, yeye kasema plof J, asa professor J anaingiaje tena hapo, itabidi plof j ndo aache muziki, ila yule wa mtulinga ngoma inogileProf J...sio Plof J.
mha ha ha aa you made my dayNyimbo ni nzurisana japo sijapata kuisikiliza
Au nyie ndo mlipanda mabasi kwa mabasi kwenda kupinga ubunge wake? , ila nimemsikia anasema kesha wasamehe na akasisitiza kazeni buti wanangu.Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Hee.......[emoji15] [emoji15] [emoji15]Nyimbo ni nzurisana japo sijapata kuisikiliza
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,