Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Au nyie ndo mlipanda mabasi kwa mabasi kwenda kupinga ubunge wake? , ila nimemsikia anasema kesha wasamehe na akasisitiza kazeni buti wanangu.
 
Nakuchapa kiheshima
Nakuchapa kihuni
.
Alafu mwambie mfalme wenu aje afute kiti changu pale bungeni
 
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,

We jamaa una matatizo yako binafsi unafikiri kuna mjinga wa kukuunga mkono kwa mada kama hii sahihisha kwanza herufi zako kisha anza kumkosoa prof j
 
Endelea kukatika sana ukajua unamwonyesha mume mautundu,miuno mingine inatukera ase,mwache jamaa aimbe na uache chuki
 
kila nabiii na wafuasi wake na kila msanii na washabiki wa zama zake tupo tulio muelewa zee la mitulinga .....alishakuchapa kiheshima
 
Anasema "nakuchapa kwa fans base licha ya hata mikumi", kila ikiisha nai-replay maana siichoki hii ngoma,
Viva wa mitulinga
 
Ushaur wako haumsaidii chochote it's better kukomaa na mambo zako nyimbo kali sana sema tatizo kutokuujua mziki ni tatizo
 
Profesa anatafuta kiki wa cyo pesa,anabust siasa yake kimtindo
 
Hao teenagers Wengi wamezoea instrumental za wasafi, hata kilichoimbwa hawataki kukijua..
 
Back
Top Bottom