sparrow junior
Member
- Sep 29, 2011
- 16
- 2
- Thread starter
- #21
Akijichanganya dogo itakula kwake maana ndio vitu vya kusoma hvyo kwa sasa au hata uuguzi nako ajira zao fasta
hivi nyie mnajua mshahara wa walimu na mazingira yao,bora nisome digrii yeyote nijtupie jeshini kuliko kua mwalimu