Mkuu Lugha inazungumzwa na kuandikwa pia. Tena ya kuandika ndiyo ya muhimu zaidi kwa sababu inakuwa documented (sijui Kiswahili cha hili neno, kama wajua nijuze) na hivyo kuwafia wengi zaidi wakati huo mwandishi haupo nao, japo kwa upande wa wana-habari kama radio, tv, nk hata hiyo ya kuongea, lugha fasaha ni muhimu pia.
Nimekuelewa sana tu mkuu. Sasa ni nini maana ya kuwa na mtihani? Nijuavyo mtihani ufanyika ili kutenganisha anayejua na asiyejua kitu fulani mfano lugha. Hivyo ikiwa mwenye lugha akafundishwa lugha yake hiyohiyo na kisha akapewa mtihani na akashindwa na mtu asiye mwenye lugha bali amefundishwa kwa muda tu ujue kuna tatizo kwa mwenye lugha.Nilichokusudia mimi kukuambia, kupasi mtihani wa darasani sio hoja kabisa ya kuwa wewe ndio mwenye lugha, Hata mtoto wa kizungu akiingia tuition miaka miwili anaweza faulu pia.
Ulianza vizuri halafu ukaja kuandika UTUMBO
Sio "kihoja" ni "kioja"Mjerumani kushindwa kutamka vizuri maneno ya kiswahili ni jambo linaloeleweka lakini Mswahili kushindwa kutamka vizuri maneno ya lugha yake ya kiswahili ni kihoja.
Nijuavyo mtihani ufanyika ili kutenganisha anayejua na asiyejua kitu fulani mfano lugha.
Hata wewe waweza faulu mtihani wa kiengereza kuliko waengereza wenyewe, Bado Haitojaalisha kuwa wewe ndie mwenye kiengereza.
A na H
Naenda kura nikishiba ndio nitaenda kupiga kula 🤣🤣Habari Wanandugu,
Katika kitu ambacho huwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Miaka ya nyuma kulikuwa na kichaka cha kujificha kuwa kuna Makabila ambayo hayana herufi "R" kwenye lugha zao za nyumbani, hasa mikoa ya kusini (Lindi & Mtwara).
Lakini siku hizi siyo kushindwa kutamka bali yanabadilishwa kabisa. Utakuta mtu na elimu yake anakuandikia "RAKINI" badala ya "LAKINI", Eti " KALILI" badala "KARIRI", kuna muda unamsikiliza mtu mpaka unashindwa kumwelewa kama anaongea kiswahili au anatumia lugha nyingine.
Tena kuna hawa Wachungaji na Manabii ukiwaskia wakiongea ndiyo wanazikazia " L" badala ya "R". Halafu hapo bado haujahamia kwenye vyombo vya habari.
Sasa cha ajabu siwani wakiwa wanabadili matumizi ya R na L wakiwa wanazungumza Kiingereza. Kwa hiyo huu ugonjwa ni ulimbukeni uliotujaa au ni wa makusudi?
MAONI KUTOKA KWA WADAU
------------
True storyWatu wanajifunza na kunyoosha lugha. Hajataka tu.
Mbona kuna wazee wengi tu wamezaliwa huko na wanaongea vizuri tu.
Siku hizi ni tatizo la kuiga/ulimbukeni, zamani waandishi na watangazaji wa vyombo vya habari kutoka sehemu mbalimbali za nchi hii walikuwa hawafanyi makosa hayo, siku hizi wanaiga kama anayeharibu ni maarufu au msomi.Watu wanajifunza na kunyoosha lugha. Hajataka tu.
Mbona kuna wazee wengi tu wamezaliwa huko na wanaongea vizuri tu.
Zanzibar nao wamo! Utasikia eti Makamo badala ya Makamu wa Rais!racso kaunda,
Nenda Zanzibar ukaonje ladha ya Kiswahili hawana usumbufu wa herufi kimaandishi na matamshi sijui ni ule urojo wanaokula
Ni ushamba fulani hivi ambao unawasumbua wengiHabari Wanandugu,
Katika kitunawasumbiuwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Miaka ya nyuma kulikuwa na kichaka cha kujificha kuwa kuna Makabila ambayo hayana herufi "R" kwenye lugha zao za nyumbani, hasa mikoa ya kusini (Lindi & Mtwara).
Lakini siku hizi siyo kushindwa kutamka bali yanabadilishwa kabisa. Utakuta mtu na elimu yake anakuandikia "RAKINI" badala ya "LAKINI", Eti " KALILI" badala "KARIRI", kuna muda unamsikiliza mtu mpaka unashindwa kumwelewa kama anaongea kiswahili au anatumia lugha nyingine.
Tena kuna hawa Wachungaji na Manabii ukiwaskia wakiongea ndiyo wanazikazia " L" badala ya "R". Halafu hapo bado haujahamia kwenye vyombo vya habari.
Sasa cha ajabu siwani wakiwa wanabadili matumizi ya R na L wakiwa wanazungumza Kiingereza. Kwa hiyo huu ugonjwa ni ulimbukeni uliotujaa au ni wa makusudi?
MAONI KUTOKA KWA WADAU
------------
Kushindwa kutamka baadhi ya herufi za lugha ya Kiswahili kwa usahihi kunasababishwa na athari ya lugha ya kwanza ya mtu. Hilo ni tatizo linaloweza kurekebishwa iwapo mtu husika atapelekwa kwenye maabara ya sauti na kusaidiwa kurekebisha kasoro hiyo chini ya tawi la fonetiki liitwalo fonetiki matamshi.Habari Wanandugu,
Katika kitu ambacho huwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Miaka ya nyuma kulikuwa na kichaka cha kujificha kuwa kuna Makabila ambayo hayana herufi "R" kwenye lugha zao za nyumbani, hasa mikoa ya kusini (Lindi & Mtwara).
Lakini siku hizi siyo kushindwa kutamka bali yanabadilishwa kabisa. Utakuta mtu na elimu yake anakuandikia "RAKINI" badala ya "LAKINI", Eti " KALILI" badala "KARIRI", kuna muda unamsikiliza mtu mpaka unashindwa kumwelewa kama anaongea kiswahili au anatumia lugha nyingine.
Tena kuna hawa Wachungaji na Manabii ukiwaskia wakiongea ndiyo wanazikazia " L" badala ya "R". Halafu hapo bado haujahamia kwenye vyombo vya habari.
Sasa cha ajabu siwani wakiwa wanabadili matumizi ya R na L wakiwa wanazungumza Kiingereza. Kwa hiyo huu ugonjwa ni ulimbukeni uliotujaa au ni wa makusudi?
MAONI KUTOKA KWA WADAU
------------