Watu wamekariri hizi herufi 2 TU, lakini tatizo ni kubwa kuliko wanavyodhani.
Acha niendelee kukosea R na L
Hazibadiri maudhui Zaidi Zaidi unapoteza ladha kwa anae kusoma.
A na H: ukoseaji wa hizi unaweza kupoteza maana harisi.
Mfano
Unapokea ujumbe " Bana hatuna sukari na dada anahera.
hii "Dada anahera "imeondoa
Maana nzima ya ujumbe . Lengo ilikua kuonesha kua hakuna pesa.
Ujumbe unasomeka ana pesa.usipo.elewa mapema ,utaona kama dada amekaa na pesa hataki Kununua sukari.
Makosa nimengi ,Kuna ambao Hawana
Dha , wao hutumia (Tha) iwe kuongea hata kuandika. Kama tumeamua kunyosha ni vyema tupite Kila Kona tumlike Kila pembe.