Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
Kushindwa kutamka sauti fulani kunatokana na athari ya lugha ya kwanza ya mtu au mazingira na si suala la kuiga kama unavyotaka kutuaminisha. Fonetiki na fonolojia hazisemi hivyo.Wewe hujui kama watu wanaadapt kutumia hizo R na L kutokana na interaction na wanaotumia hizo R na L kimakosa
Haya si makosa ya kisarufi, useme kwa mfano, kusema anakujaga ni makosa, Kiswahili sahihi ni kusema anakuja.
... hii inaonesha tatizo lipo kuanzia elementary education "vidudu". Enzi zetu elementary education ilikuwa inafundishwa na wazee wenye uzoefu na waliokaribia kustaafu mnajihisi mnafundishwa na babu - kwenye maongezi penye nukta anaweka nukta; koma unaiona kabisa koma imetamkwa; n.k.Naamini wana JF wote mpo sawa. JF imepata bahati kuwa na waandishi au wadadavuaji wazuri sana.
Lakini wapo ambao wanasumbuliwa na Maneno 'R' na 'L'. Baadhi hawajui R watumie wapi na L waweke wapi. Kuna mwana JF kaandika Lais Magufuli badala ya Rais Magufuli
Mwingine kaandika jambo lahisi badala ya jambo rahisi. Mwingine kaandika mahali 'namshukulu Mungu,' badala ya 'namshukuru Mungu'. Wapo pia wanaotatizwa na neno 'hawezi kufika' wakiandika 'awezi kufika'.
Nia yangu ya kuandika uzi huu ni kwamba, tusome vizuri uzi za wadadavuaji wa JF ambao tunawajua wako vizuri kwenye kiswahili maana Elimu haina mwisho.
Watu wamekariri hizi herufi 2 TU, lakini tatizo ni kubwa kuliko wanavyodhani.Tatizo lingine kubwa ni hili kama lako. Wengi hawajui wapi h au a inatumika. Mfano wewe ulitakiwa kuandika waandishi. Au mwingine hajui tofauti ya HANA na ANA.
Sawa mkuu, haya yote yanatazamwa. Binafsi ninaendelea kujidhatiti katika kuimarisha lugha hii. Na ninakubali kuwa bado najifunza.Watu wamekariri hizi herufi 2 TU, lakini tatizo ni kubwa kuliko wanavyodhani.
Acha niendelee kukosea R na L
Hazibadiri maudhui Zaidi Zaidi unapoteza ladha kwa anae kusoma.
A na H: ukoseaji wa hizi unaweza kupoteza maana harisi.
Mfano
Unapokea ujumbe " Bana hatuna sukari na dada anahera.
hii "Dada anahera "imeondoa
Maana nzima ya ujumbe . Lengo ilikua kuonesha kua hakuna pesa.
Ujumbe unasomeka ana pesa.usipo.elewa mapema ,utaona kama dada amekaa na pesa hataki Kununua sukari.
Makosa nimengi ,Kuna ambao Hawana
Dha , wao hutumia (Tha) iwe kuongea hata kuandika. Kama tumeamua kunyosha ni vyema tupite Kila Kona tumlike Kila pembe.
Watu wamekariri hizi herufi 2 TU, lakini tatizo ni kubwa kuliko wanavyodhani.
Acha niendelee kukosea R na L
Hazibadiri maudhui Zaidi Zaidi unapoteza ladha kwa anae kusoma.
A na H: ukoseaji wa hizi unaweza kupoteza maana harisi.
Mfano
Unapokea ujumbe " Bana hatuna sukari na dada anahera.
hii "Dada anahera "imeondoa
Maana nzima ya ujumbe . Lengo ilikua kuonesha kua hakuna pesa.
Ujumbe unasomeka ana pesa.usipo.elewa mapema ,utaona kama dada amekaa na pesa hataki Kununua sukari.
Makosa nimengi ,Kuna ambao Hawana
Dha , wao hutumia (Tha) iwe kuongea hata kuandika. Kama tumeamua kunyosha ni vyema tupite Kila Kona tumlike Kila pembe.
Hazibadiri[emoji777]Watu wamekariri hizi herufi 2 TU, lakini tatizo ni kubwa kuliko wanavyodhani.
Acha niendelee kukosea R na L
Hazibadiri maudhui Zaidi Zaidi unapoteza ladha kwa anae kusoma.
A na H: ukoseaji wa hizi unaweza kupoteza maana harisi.
Mfano
Unapokea ujumbe " Bana hatuna sukari na dada anahera.
hii "Dada anahera "imeondoa
Maana nzima ya ujumbe . Lengo ilikua kuonesha kua hakuna pesa.
Ujumbe unasomeka ana pesa.usipo.elewa mapema ,utaona kama dada amekaa na pesa hataki Kununua sukari.
Makosa nimengi ,Kuna ambao Hawana
Dha , wao hutumia (Tha) iwe kuongea hata kuandika. Kama tumeamua kunyosha ni vyema tupite Kila Kona tumlike Kila pembe.
Wala usikereke sana mkuu .Hazibadiri[emoji777]
Hazibadili[emoji736]
Huwa nakereka sana ninapoona mtu anakosea akiwa anamsahihisha aliekosea awali
Wasiosikia wanaelewa kwa "alama za vitendo"Wala usikereke sana mkuu .
Endelea kusahihisha hadi tuzielewe hizi herufi.
Hivi kwa asie sikia anatofautishaje hizi ?