Hivi Rais (RIP) Benjamini William Mkapa alikuwa na watoto?

Hivi Rais (RIP) Benjamini William Mkapa alikuwa na watoto?

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
Alikuwa naye yule wa kiume alifunga ndoa miaka ile. Sema kafanana na Anna Mkapa peke yake..
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
Sio Mangufuli ni Hayati Magufuli

Hayati Mkapa mmoja wa wanae ni katibu mkuu wizara flani hapa nchini
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
 
Kama mke tu ilibidi wazee wa chama wamtafutie, watoto watatoka wapi?
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!

Mjane wake yungali hai, unaweza ukamtafuta tu atakwambia kama wale watoto wawili (watu wazima sasa) ni wa Ben au ni wa yule mzee waziri wa nini sijui mstaafu...
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
Mkuu,

Mkapa mbona kaandika mpaka kitabu cha maish ayake "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers". Kama unapenda sana kujua maisha yake kisome.

Watoto anao Nicholas na Stephan pamoja na Peter.

Kwani vipi?
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
Anao wawili wa mramba, mmoja najua yupo beñki kuu.
 
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!

Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!

Sasa Mkapa jamani! Mkapa, vipi? Tupeni historia tujue nchi yetu! Hakuacha watoto? Kama wapo, wako wapi? Sio kazi rahisi kuwa mkuu wa nchi! Kama nchi, uzao wa viongozi lazima tuutambue!
Ili iweje au inakuhusu nini wewe?
 
Back
Top Bottom