Hivi Rais (RIP) Benjamini William Mkapa alikuwa na watoto?

Hivi Rais (RIP) Benjamini William Mkapa alikuwa na watoto?

Wanasema kitanda hakizai halamu,tuseme tu ni wake
Alimkuta nae......huwezi kudanganya ukweli ......alimficha kusema wa dada yake anamlea...alipotaka kuoa sasa ikabidi ukweli uwekwe waziii
 
Alikuwa naye yule wa kiume alifunga ndoa miaka ile. Sema kafanana na Anna Mkapa peke yake..
Mmh, sema kweli bhana. Mbona anafanana sana na baba yake! Alifungaga ndoa na mtoto wa mwana sheria mmoja maarufu hapa mjini, nasikia nae aliisha fariki.
Back to the question, Mkapa alizaa na mama Anna Mkapa watoto 2 na wote wa kiume. Kwenye msiba wake mbona walionekana. Ukitazama Marais wa Kikristo is like waliweka mbali familia zao na urais wao, Jessica Magufuli ali trend sana kwasababu ya issue ile ambayo Magufuli aliwaitaga wale watoto wa Diploma kwamba vilaza, ndio watu wakafukua moja ya faili la mwanae ambaye by that time she was studying at UDOM, Nyerere the same, Mkapa ndio huyu. Nyerere pamoja na wanae wote kusoma shule ya msingi Bunge lakini hawakuishi kama watoto wa rais, Makongoro amekuja kujulikana sana baada ya kugombea ubunge Arusha mwaka 1995, kabla ya hapo hakua kiviile.
 
Back
Top Bottom