Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Alimkuta nae......huwezi kudanganya ukweli ......alimficha kusema wa dada yake anamlea...alipotaka kuoa sasa ikabidi ukweli uwekwe waziiiWanasema kitanda hakizai halamu,tuseme tu ni wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimkuta nae......huwezi kudanganya ukweli ......alimficha kusema wa dada yake anamlea...alipotaka kuoa sasa ikabidi ukweli uwekwe waziiiWanasema kitanda hakizai halamu,tuseme tu ni wake
PEPO TOKA KABISA WEWEKuna mmoja mtoto wa
Mramba....mmoja ndio wa Mkapa......period
Leo mama abdool nakuunga mkonoIli iweje au inakuhusu nini wewe?
Si utuambie kinaga ugaba?Yes ni mtoto wake wa pili
Mmh, sema kweli bhana. Mbona anafanana sana na baba yake! Alifungaga ndoa na mtoto wa mwana sheria mmoja maarufu hapa mjini, nasikia nae aliisha fariki.Alikuwa naye yule wa kiume alifunga ndoa miaka ile. Sema kafanana na Anna Mkapa peke yake..