Hivi Rais Samia ukijisikiliza hapo huwa unajiasikiaje?!

Hivi Rais Samia ukijisikiliza hapo huwa unajiasikiaje?!

Endapo unapata dhamana ya cheo cha kikatiba cha mkuu wa taasisi nyeti ya urais basi msimamo na kauli zako siku zote huegemea katika maslahi mapana ya taifa.
 
Endapo unapata dhamana ya cheo cha kikatiba cha mkuu wa taasisi nyeti ya urais basi msimamo na kauli zako siku zote huegemea katika maslahi mapana ya taifa.
Kabisa

Kuunganishwa kwa tshs 27000 wananchi tena waliompigia kula, anaona wanafaidi.

Kwanini wasingewakata kidogo kidogo hata buku mbili kila mwisho wa mwezi.

Utawala wake kuwa na umeme ni anasa wakati mwananchi wa kawaida itamsaidia kuchochea uchumi anaweza kuuza hata barafu,ice cream, welding etc.
 
hilo ni moja, kama atagombea urais 2025 ajue atapata tabu sana huyu maana wananchi wanafaili lake kama kitabu cha "BS" kwa wasomi wa advance level. Faili lake limejaa watu watakuwa wanachagua watapike yapi na waache yapi. Mimi nikiendelea kumsikiliza nazidi kumkinai kumchoka na kumtapika kabisa
 
Mh Rais wetu yupo wazi na Ameeleweka vizuri tu labda Kama wewe ndio hujamuelewa, kasema wazi kuwa maeneo mengine Tena mengi tu hasa vijijini wananchi wataendelea kupata huduma ya kuunganishiwa umeme kwa sh elfu 27 Kama zamani, lazima ujuwe Kuna baadhi ya vitu vya kiufundi na kitaalamu vinaongezeka na kubadilika hivyo gharama haiwezi kubaki Kama zamani kwa maeneo yote
 
Mh Rais wetu yupo wazi na Ameeleweka vizuri tu labda Kama wewe ndio hujamuelewa, kasema wazi kuwa maeneo mengine Tena mengi tu hasa vijijini wananchi wataendelea kupata huduma ya kuunganishiwa umeme kwa sh elfu 27 Kama zamani, lazima ujuwe Kuna baadhi ya vitu vya kiufundi na kitaalamu vinaongezeka na kubadilika hivyo gharama haiwezi kubaki Kama zamani kwa maeneo yote
Unaonaje na Kodi kubwa na tozo kubwa ziende uko kwenye 27000 itapendeza.....wewe unachangia Tu au Una kunya kunya maneno hapa uonekane Una bando....?? Mkubavu nini
 
Unaonaje na Kodi kubwa na tozo kubwa ziende uko kwenye 27000 itapendeza.....wewe unachangia Tu au Una kunya kunya maneno hapa uonekane Una bando....?? Mkubavu nini
Mambo yote yatakuwa sawa tu chini ya uongozi wa mh Rais wetu
 
Endapo unapata dhamana ya cheo cha kikatiba cha mkuu wa taasisi nyeti ya urais basi msimamo na kauli zako siku zote huegemea katika maslahi mapana ya taifa.
Kauli za awali za kitapeli ziliegemea maslahi ya nani?
 
Back
Top Bottom