Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Duuuhh, kumbe ndio huyo Ticha.raraa reree anamiliki NGO moja pale masaki, na ni mwalimu wa chuo kikuu MUHAS. Kuna kampun moja ya forwarding na clearence iko mnaz mmoja ya kwake. Na ile dul monte pale toangoma ana hisa nayo.
Raraa reree ni mtu makini sana hata mke wake ananijua
Ndo huyohuyo sahiz anakaa pale posta nyuma ya JNICc analipa 800k kodi ya nyumba kwa mweziDuuuhh, kumbe ndio huyo Ticha.
Kama ni yeye kweli, huyo ticha yupo humble sana, nishapitia mikononi mwake
Ebhanaeee kichwa hiki hiki niwe mwalimu wa chuo 😆raraa reree anamiliki NGO moja pale masaki, na ni mwalimu wa chuo kikuu MUHAS. Kuna kampun moja ya forwarding na clearence iko mnaz mmoja ya kwake. Na ile dul monte pale toangoma ana hisa nayo.
Raraa reree ni mtu makini sana hata mke wake ananijua
Kumbe🤣raraa reree ndiye mwanaume anayeongoza kwa kufunguliwa nyuzi
July 14, I saved the dateKwani ni MWANAUME?
Mwalim w chuo si 3.5 tu mbona jf wat kibao wanazoEbhanaeee kichwa hiki hiki niwe mwalimu wa chuo 😆
3.8Mwalim w chuo si 3.5 tu mbona jf wat kibao wanazo
Huyu min-me Ni noma ana like kila kitu hta umuelewi ana misimamo gani mpaka huwa nacheka ,Mara ya kwanza kuona ka-like comment yangu nkafurahi nkasema yes! Kumbe nimeandka ktu.nkaja-kugundu Ni mzee wa ku-like tu nlicheka sana.kwa ufupi ukiona min-me kaku-like assume huja-like- waNdio! na pacha ake min -me
3.5 ndio standard Man GPA ikifika 3.4 tu huyu mtu kinadharia sio mbaya teknikali. Hiyo 3.8 kupunguza ushindan tu
Hiyo standard imewekwa na Nani?3.5 ndio standard Man GPA ikifika 3.4 tu huyu mtu kinadharia sio mbaya teknikali. Hiyo 3.8 kupunguza ushindan tu
Na mm kalaga baho mwemyew hapahapa jf. Na leo ndo naisimika rasmi, mbele yakoHiyo standard imewekwa na Nani?
Wanakoroma sana wakiwa kitandaniraraa reree ni robot. Anyways am joking, raraa reree ni jamaa ambae anajua maisha ni nini? Maisha sio ku complicate. Maisha ni kufurahia.
Nimalizie kwa kuuliza swali, mwenye uzoefu na wanawake wa kimatumbi hasa upande wa kitandani? Wakoje kitandani?