Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Kwanza mnatakiwa mjue hili jina "raraa reree" linatokana na nini
Huu uliwahi kuwa ni msemo treding miaka ya 2000 na kuendelea hasa Uingereza kwa maana ya blaablaaablaaa
Huyu bingwa ni mtaalamu wa IT, na atakuwa anaishi nje ya bongo
Ametengeneza batch file scripts inaunganisha ID na mfumo wa LIKE wa JF, hivyo ni automated, unapiga LIKE bila hata yeye kuinua kidole😎
 
Kwanza mnatakiwa mjue hili jina "raraa reree" linatokana na nini
Huu uliwahi kuwa ni msemo treding miaka ya 2000 na kuendelea hasa Uingereza kwa maana ya blaablaaablaaa
Huyu bingwa ni mtaalamu wa IT, na atakuwa anaishi nje ya bongo
Ametengeneza batch file scripts inaunganisha ID na mfumo wa LIKE wa JF, hivyo ni automated, unapiga LIKE bila hata yeye kuinua kidole😎
Mwamba mimi nipo hapa hapa kwa Nyerere 😄
 
Back
Top Bottom