Hivi redio hizi za Kimataifa BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini?

Hivi redio hizi za Kimataifa BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini?

Itako
Hili ni suala muhimu. Natamani itokee redio toka Afrika ifungue vituo US na EU halafu iwe inatangaza mabaya ya huko na mazuri ya Afrika na hata waarabu halafu niskie kama haitafungiwa ....refer to Al Jazeera ilivyofungiwa US .
Itakosa wasikilizaji kama TBC jaribuni muone
 
Kwenye idhaa hizo huwezi kusikia wanaitaja kwa wema Iran, Russia, Korea Kaskazini na nchi nyinginezo hasimu.
Maana yake lengo ni kuzipamba nchi zao na kutengeneza mentality ya negativity kwa mahasimu wao.

Na hii imefanikiwa sana kuipa Afrika mentality ya kumuona mzungu ndio kila kitu
Hecko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itako
Itakosa wasikilizaji kama TBC jaribuni muone
Kwanini uende mbali Al Jazeera is a living proof US na UK wanabana vyombo vya habari vinavyaongelea mabaya yao kwa mwavuli wa uzalendo nashangaa viongozi wa Afrika wasitumie sababu hizo hizo labda hawajui.
 
Wadau naomba kuuliza hivi redio za Kimataifa kama vile BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini kwakurusha matangazo hasa kwa hizi nchi za Maziwa makuu, (Kiswahili) kwani hazirushi matangazo ya biashara kama zilivyo redio zetu. Mfano BBC imefungua Studio kubwa naya kisasa nchini Kenya,
Nashauri pia usome jinsi Al Jazeera ilivyowekewa vikwazo na US na UK wasitangaze habari wasizozipenda kwenye nchi zao naamini itakusaidia kuimarisha thread yako na kufungua macho watu wanaoamini hivi vyombo vipo hapa kuimarisha Uhuru was habari.
 
Wadau naomba kuuliza hivi redio za Kimataifa kama vile BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini kwakurusha matangazo hasa kwa hizi nchi za Maziwa makuu, (Kiswahili) kwani hazirushi matangazo ya biashara kama zilivyo redio zetu. Mfano BBC imefungua Studio kubwa naya kisasa nchini Kenya,
Vyombo vya propaganda vya serikali za Nchi zao mkuu. Serikali zinagharamia. Hizo ndizo moja ya killing machines kwa nchi za dunia ya tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hujui hata TBCCM wanakula kodi zetu...

Sasa unafikiri Sasa unafikiri Uingereza kila mwezi wanatupia mabilioni mangapi hapo BBC kila mwezi.!?
 
Ni kutaka dunia mzima kuwa kama kijiji manufaa yao kutoka kwa wafadhili kama NGos,world rules na UN
 
Kwenye idhaa hizo huwezi kusikia wanaitaja kwa wema Iran, Russia, Korea Kaskazini na nchi nyinginezo hasimu.
Maana yake lengo ni kuzipamba nchi zao na kutengeneza mentality ya negativity kwa mahasimu wao.

Na hii imefanikiwa sana kuipa Afrika mentality ya kumuona mzungu ndio kila kitu
Wewe unasema nini kuendesha mambo yenu mpk wawape pesa wenyewe, uchumi wenu na mambo mnayotaka myafanye hayafanani.
Huyo rais wa kainchi kadogo anaishi sawa na raisi wa amerika. Ati na nyie mnataka ndege ona aibu ndy uzungumze wanakulisha harafu eti wakikupa uzuri wao wanakuwa wanakudharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo la kushangaza sana, mataifa yote makubwa yanatoa ruzuku kwa vyombo vyao vya habari kwa jambo hilo.
German- DW, france-RFA, JAPANI-idhaa ya kiswahili ya japani, China-GCTN, USA-VOA, uingereza-BBC etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninjia moja ya kusambaza utamaduni wao. Germany tunalipia kodi ya redio na TV kila binadamu anayeishi huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo ni vyombo vya habari vya kimataifa,vyombo vinavyojielewa.kazi yao kubwa nikukupasha habari za ulimwenguni na zakwako kwa lungha yako.mambo ya faida waachie wenyewe maana sisi yakwetu yametushinda hadi wao ndo wanatusaidia.
 
Kwanini utamani kitu usichoweza kukifanya.acha kuishi kwa ndoto kama uwezo huna.Walioanzisha hivyo vyombo ni watu kama wewe na kizuri zaidi tayari kuna shirika la utangazaji la nchi kwanini usiende ukapeleka hayo mawazo yako ili hicho unachokitamani kifanikiwe.
Hili ni suala muhimu. Natamani itokee redio toka Afrika ifungue vituo US na EU halafu iwe inatangaza mabaya ya huko na mazuri ya Afrika na hata waarabu halafu niskie kama haitafungiwa ....refer to Al Jazeera ilivyofungiwa US .
 
Hivi wewe unategemea shirika kama BBC idhaa ya kingereza iwaabarishe waingereza habari za kila siku za nchi kama tanzania?.Hilo ni shirika kubwa haliwezi kuwahabarisha waingereza kila kitu chakutoka nje ya uingereza ndo maana wakaanzisha idhaa mbalimbali kulingana na lugha walizopendelea.Nasisi tulitakiwa tuwe na shirika lenye kuleta mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya habari badala yakupiga tu porojo zisizoeleweka.
Lakini mkuu ukiwa kwao hatuoni hizo taarifa,mara nyingi vyombo vyao vya habari hutangaza yanayowahusu tu
 
Back
Top Bottom