Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Hata sielewi unalalamika nini.Kwanini utamani kitu usichoweza kukifanya.acha kuishi kwa ndoto kama uwezo huna.Walioanzisha hivyo vyombo ni watu kama wewe na kizuri zaidi tayari kuna shirika la utangazaji la nchi kwanini usiende ukapeleka hayo mawazo yako ili hicho unachokitamani kifanikiwe.
Na China pia wapo..?Mabeberu wanazipa ruzuku kusambaza mazuri ya wazungu, na usidhani ni kiswahili tuu wanaidhaa Mpaka za kiausa na kiigbo. Unaposikia hii ni radio DW idhaha ya kiswahili ni sawa na kusema idara ya kiswahili, utakuta wana idhaha hata hamsini za lugha MBALIMBALI duniani mpaka Afghanistan huko kwa warabu
Yuko hai .. furahini katika bwana.Ndio utakuta watu kama Lisu wamekenua meno huko ndio kazi ya hivyo vyombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na wewe hatujui lakini kuna mazuri mengi tu wanayo ila wananchi wao wanayajua,ndio maana wewe huwezi kuona mazuri ya bwana kiduku wa N korea sababu bbc na wenzake wameshakulisha sumu nawewe unaamini 100% korea,iran na wengineo maisha yakule ni kama haela.Hiv Iran au Korea ile ya "Subwoofer" utaipamba kwa lipi?
Kama ilivyo TBCCM propaganda machine ya LumumbaPropaganda tools za mabeberu
Wamepiga hatua kutuzidi sisi wadanganyika pia wananyuklia war heads kitu ambacho hatuwezi kuwa nacho kwa miaka ya karibuni ingawa tuna uraniumHiv Iran au Korea ile ya "Subwoofer" utaipamba kwa lipi?
Radio hizi ni propaganda machinery na pia ni namna ya kuhakikisha kwamba kunakuwa na narative yao katika kila kinachoendelea huku kwetu.So usipate Presha.Zinafaidika sanaWadau naomba kuuliza hivi redio za Kimataifa kama vile BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini kwakurusha matangazo hasa kwa hizi nchi za Maziwa makuu, (Kiswahili) kwani hazirushi matangazo ya biashara kama zilivyo redio zetu. Mfano BBC imefungua Studio kubwa naya kisasa nchini Kenya,
Jifunze siasa ya dunia na propaganda ndo utaelewa, hafu hizo ni radio za serikaliWadau naomba kuuliza hivi redio za Kimataifa kama vile BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini kwakurusha matangazo hasa kwa hizi nchi za Maziwa makuu, (Kiswahili) kwani hazirushi matangazo ya biashara kama zilivyo redio zetu. Mfano BBC imefungua Studio kubwa naya kisasa nchini Kenya,
Tanzania chini ya ccmilishindwa kujua uwepo wa mauaji ya ALBINO huko kanda ya ziwa mpaka VICKY Mtetema wa BBC alipoutangazia ulimwengu.... hatua zilichukuliwa ikiwemo ya bwana Pinda kulia bungeni. Hawakuitwa Mabeberu wala propaganda wakati huo leo.... wakitoa misaada kugharamia bajeti wanaitwa wabia / wahisani 60% wanatoa wao wakigharamia matibabu ya wengine kina Lisu ni magaidi pumba pumba pumba....... vuuuuuuuu kabisaPropaganda tools za mabeberu