dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Daah aisee ni kweli kuna msemo unasema bora ukosee kujenga kuliko kuoa au kuolewana uwowe tu hakuna namna, omba Mungu umpate aliye sahihi
otherwise itakuwa vise versa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah aisee ni kweli kuna msemo unasema bora ukosee kujenga kuliko kuoa au kuolewana uwowe tu hakuna namna, omba Mungu umpate aliye sahihi
otherwise itakuwa vise versa
AminiMwanzisha thread nadhani amezaliwa kwenye ufukara wa akili na mali na bado ana-operate kwenye ufukara wa akili na mali. (no offense). Hana clue kabisa na maisha mengine...
Ubaguzi wake ni nini?Tajiri wa kichaga tofauti sana na wengine,huyu anajali watu hata wasio wa kwao lakini yule tajir mwenye meli za kwenda Zanzibar mbaguz sana
haswaaa ila Mungu mwema naamini utampata wa chaguo lakoDaah aisee ni kweli kuna msemo unasema bora ukosee kujenga kuliko kuoa au kuolewa
Nimeshindwa kujizuia na kuangua kicheko baada ya kusoma comment hii...MSAGA SUMU said:
Haya maisha bhana,unaweza kuta na yeye huko alipo anajiuliza mbona @okoyoko kila siku ni masikini? Yaani tokea mwaka 1992 jamaa hatoi msaada wala nini lakini kila siku yeye huwa analia njaa tu ?
Kweli kabisa, hii ni comment bora kabisa...Comment bora kwangu kwa leo
Tajiri wa kichaga tofauti sana na wengine,huyu anajali watu hata wasio wa kwao lakini yule tajir mwenye meli za kwenda Zanzibar mbaguz sana