figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Nakumbuka kuna siku Ben alipata ajali, alikuwa anatoka kwa Rita, akaanguka kwenye mtaro na Benz lake. Akampigia Askari wake wa amani ndio akaenda kumtoa, alikuwa mwenyewe akijiendesha. Alipata ajali Mikocheni karibu na daraja la JKT pale Mlalakuwa akitokea kwa Rita. Wakati huo akiwa bado ni Jemedari
Sema Rita naye alikuwa na mambo mengi, kaachana na mumewe kisa Ben na wakawa wanatoana ngeu na Kiana.
Baadaye Rita akaona isiwe tabu, akajitafuta Mwarabu wake wa kududuana.
Sema Ujana maji ya moto, sasa Rita karudiana na mumewe wanakula mafao yao.
Walishasameheana maisha yanaendelea. Majemedari wetu wanapenda dogodogo!
Ben na Rita walidumu kipindi kirefu. Je, baada ya kifo cha Ben, Rita hajapewa chochote kama kifuta jasho kwa kumtunza?
Ila jamani Rita alikuwa Pisi kali, acha hapa kazeeka.
Ila Rita naye, alipokuwa MSEMAJI wa watu wa Kawe, akampata THE GREAT. Ukaibuka ugomvi mpya kati ya Rita na Chimama
Sema Rita naye alikuwa na mambo mengi, kaachana na mumewe kisa Ben na wakawa wanatoana ngeu na Kiana.
Baadaye Rita akaona isiwe tabu, akajitafuta Mwarabu wake wa kududuana.
Sema Ujana maji ya moto, sasa Rita karudiana na mumewe wanakula mafao yao.
Walishasameheana maisha yanaendelea. Majemedari wetu wanapenda dogodogo!
Ben na Rita walidumu kipindi kirefu. Je, baada ya kifo cha Ben, Rita hajapewa chochote kama kifuta jasho kwa kumtunza?
Ila jamani Rita alikuwa Pisi kali, acha hapa kazeeka.
Ila Rita naye, alipokuwa MSEMAJI wa watu wa Kawe, akampata THE GREAT. Ukaibuka ugomvi mpya kati ya Rita na Chimama