Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Kuna baadhi ya Taarifa zako hazipo sawa. Mfano Rita kuachana na Mumewe. Hawakuwahi kuachana ila walikuwa wametengana kwa muda.

Mzee M alinifundisha kitu kimoja, baada ya kumuuliza unajisikiaje na uvumi wa Ben kubanjuana na mama. Akasema, mdogo wangu, ukioa mchagga hayo ni mambo ya kawaida. Uzuri sasa hivi unaliona hiyo Land Cruiser VX ni la mama ila natembelea mimi. Kipi bora kung'ang'ania mke au kufaidi toka kwa mke. Huu ndiyo muongozo wangu siku zote
 
Pole sana, wakati mwingine ukali huwa ni hulka ya mtu binafsi.

Hata kama una cheo/wadhifa Mkubwa lakini haikuondolei kufuata utaratibu.

Kuna kazi moja ilihusisha kukutana na Mzee Pinda wakati fulani, though ilikuwa baada ya kustaafu.

Lakini Mzee wa watu alikuwa peace ✌️ tu wakati anasubiri nimuhudumie.

Na alikuwa anapenda ucheshi kidogo, japo Walinzi wake walikuwa kama hawapendi Mzee aendelee kukaa muda mrefu pale.
Wanawake sisi mume akiwa na cheo nasi tunaona hiko cheo Cha mume ni chetu simply anampa uroda😂🤣
Ikafikia kumpa bill alipie akachukua,tukampa na gharama ya kukamilisha kazi laki 2,kwakua ni mkubwa boss alinambia punguza,akasema kijana wake ataileta hiyo 200k,kesho yake kijana kaja akaomba akaunti namba,nikachoka🤣🤣nikampa kishingo upande manake ilitakiwa iletwe cash🤣😂
 
Wanawake sisi mume akiwa na cheo nasi tunaona hiko cheo Cha mume ni chetu simply anampa uroda😂🤣
Ikafikia kumpa bill alipie akachukua,tukampa na gharama ya kukamilisha kazi laki 2,kwakua ni mkubwa boss alinambia punguza,akasema kijana wake ataileta hiyo 200k,kesho yake kijana kaja akaomba akaunti namba,nikachoka🤣🤣nikampa kishingo upande manake ilitakiwa iletwe cash🤣😂
Umeongea sahihi kabisa

Unakumbuka issue ya Mke wa Marehemu Balozi Augustino Mahiga?

Wanawake hata mkipewa madaraka, huwa mnataka kila mtu akuheshimu kwa Lazima

Wanaume tuko Peace ✌️ sana, Unakumbuka Mzee Nyerere alikuwa baada ya kazi anaenda kucheza Bao na Wazee wa DSM bila kujali yeye ni Rais wa Nchi
 
Umeongea sahihi kabisa

Unakumbuka issue ya Mke wa Marehemu Balozi Augustino Mahiga?

Wanawake hata mkipewa madaraka, huwa mnataka kila mtu akuheshimu kwa Lazima

Wanaume tuko Peace ✌️ sana, Unakumbuka Mzee Nyerere alikuwa baada ya kazi anaenda kucheza Bao na Wazee wa DSM bila kujali yeye ni Rais wa Nchi
Ni shideer
Ila wanafanya hivyo wanawake Wenye upeo mdogo mostly
 
Mahaba ni Sunnah!!!hayana Adabu Kabisa,,,Acha yanifanye Kichaa tuu,,Hata Bill Clinton aliigeuza White House ghetto lake na mchepuko wake ni mikunjoo Tu,,linapokuja swala la mbususu,,Wanaume Kwa asilimia kubwa huwaga lazima netiweki ziyumbe!!
 
Back
Top Bottom