Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kuna taasisi fulani ya serikali Morogoro imepiga marufuku pkpk kuingia kwenye compound yake kisa Katibu Mkuu wake alichukizwa na honi ya pikipikiWanawake hata mkipewa madaraka, huwa mnataka kila mtu akuheshimu kwa Lazima