Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Huyo mama Che ni mshamba tu kama alimind kuwekwa ofisini for 10 minutes, Kuna watu ni Humble sana akiwemo Mzee Pinda very decent
Nadhani ni hulka zao tu.

Ila tusiwalaumu Wanawake, kawaida Mwanamke akikosa kusuguliwa huwa wanakuwa na hasira kali kuliko Nyati aliyejeruhiwa na Risasi.

Na wale wa familia bora huendelea kutaka huduma hata akiwa na miaka 50, huenda huyo Mama naye alikuwa Muhanga wakati huo 🤗
 
Inaonekana suala la Sisi Wanaume kuridhika na Mwanamke mmoja limekuwa changamoto sana.

Ni vile wengine we keep our Profile low, zikija kuwekwa wazi itakuwa balaa 😅

Hata Mwendazake naye alikuwa mpenzi wa hayo Mambo, ukikutana na ile cycle ya Ikulu huwa wanasema.

Huyo Msoga naye ilikuwa ni vile vile

Wanaume tukakanyage mafuta tu huenda ikasaidia, maana hadi kuna Wazee wa miaka 70+ lakini bado wanahangaika na pussy cat tu 😆
Duh!!..Sawasawa
 
Haiwezi,manake wanaopewa madaraka makubwa wanawake ni vichomi,vyeti ungaunga na brainless,sababu ya vy.uupi
So tuendelee tu,tutafika lakini ,one day yes🙏
Mungu asaidie siku moja mmbadirike.

Mkishindwa tutawatumia Upepo wa Kisulisuli 🤗
 
Kuna baadhi ya Taarifa zako hazipo sawa. Mfano Rita kuachana na Mlaki. Hawakuwahi kuachana ila walikuwa wametengana kwa muda.

Mzee Mlaki alinifundisha kitu kimoja, baada ya kumuuliza unajisikiaje na uvumi wa Ben kubanjuana na mama. Akasema, mdogo wangu, ukioa mchagga hayo ni mambo ya kawaida. Uzuri sasa hivi unaliona hiyo Land Cruiser VX ni la mama ila natembelea mimi. Kipi bora kung'ang'ania mke au kufaidi toka kwa mke. Huu ndiyo muongozo wangu siku zote
Hapana sikubaliani na wewe ingekuwa girlfriend sawa ila mkeo wa ndoa aliwe wewe ndio uishi sasa hapi uwanaume wako upo wapi? Wanawake wote hawa waliojaa ina maana atakuwa anapenda kulelewa huyo mzee wako
 
Inaonekana suala la Sisi Wanaume kuridhika na Mwanamke mmoja limekuwa changamoto sana.

Ni vile wengine we keep our Profile low, zikija kuwekwa wazi itakuwa balaa 😅

Hata Mwendazake naye alikuwa mpenzi wa hayo Mambo, ukikutana na ile cycle ya Ikulu huwa wanasema.

Huyo Msoga naye ilikuwa ni vile vile

Wanaume tukakanyage mafuta tu huenda ikasaidia, maana hadi kuna Wazee wa miaka 70+ lakini bado wanahangaika na pussy cat tu 😆
Msoga huyo si Diamond haoni ndani?
Huyo mzee mpenda chini sana tu mbona?
 
Back
Top Bottom