[emoji1787][emoji23]aliambulia mafao yake toka kwa Ben kabla hajafa
Anna hajampa hata thumni
Kwanza anaanzaje kumface Ana?
Ana ni mkali aiseeh alikujaga ofcn enzi hizo Niko junior,boss akanambia kalete jalada lake,sa si mke wa raisi mstaafu, kwahiyo wakijaga maofisini hao,afisa unageuzwa secretary na masjala ghafla ,Sasa nimefika masjala,dada wa masjala ananizingua,nikasubiri kama dk 10,ndo napeleka jalada,alooh aliniwashia Moto,kidogo Nilie,boss akampoza, akamwambia ndo anaanza kazi,katoka chuo juzi msamehe tu[emoji1787]