Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Weeh hana upole wowote
Alisema huyu binti ni afisa kweli?anatafuta file dk 10?
Wakati mtafuta faili siyo Mimi[emoji23][emoji1787]
Nilitetemeka nikajua ndo naenda kutemeshwa bungo[emoji1787]si wajua kitete Cha kuanza kazi [emoji1787][emoji23]
Hahahaha eti bungo..
 
Sijajuwa=Sijajua😌 shule ulienda kusomea ujinga!
Nimeanza kuandika Kiswahili kwa herufi zake za asili za Kiarabu. Soma:

 
Hakuna mwanaume mwenye Hela na afya njema Hana michepuko kuanzia mitatu ya kudumu na kula mara tatu UDA za mbagala
 
Sio Ben tu, hata Anna hakuwahi kumpenda tena BM ndio sababu hata baada ya usuluhishi wa mchonga wakaenda nyumba kuu lakini Anna alikuwa anaenda kugongwa na yule mchepuko wake jambo ambalo lilizidisha hasira ya BM kwa Anna
 
Vya sirini vina utamu wake aseeee
 
Ungezungumzia mema yake unafikiri angekubwekea baaas! Waswahili tuna nongwa sana na unafiki wa hali ya juu
 
...Amina ! [emoji846]...
 
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
iwekwe lamination hii...namwambiaga babe yangu haya maneno daily...ukiwa huna hela vishawishi kibao...ukiwa nazo hata mumeo unampa ratiba...unamwambia kbs jpl usiniguse juma3 nna kikao na wafanyakazi wangu😆
Yaani imagine una Hela ya kusolve matatizo Yako Sasa mwanamme wa pembeni wa kazi gani?anakuja na maajabu gani?
 
Mkuu wachaga wote hawako hivo .apambane na.mkewe

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…