Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

🤣🤣🤣 Kwenye maokoto sikuchomeshi wizo
Mwenyewe natafuta wangu tunatunziana siri
Ishia hapo hapo, Kaka angu nampenda sana, siwezi ruhusu aibiwe
Halafu kuna siku ulimfokea humu, nililia sana😭😭😭, hapa Nimekumbuka naliaa tena😭😭😭😭
 
Ishia hapo hapo, Kaka angu nampenda sana, siwezi ruhusu aibiwe
Halafu kuna siku ulimfokea humu, nililia sana😭😭😭, hapa Nimekumbuka naliaa tena😭😭😭😭
Wee mbona sikumbuki lini nilimfokea?
Naanzaje kumfokea laaziz wangu, nyonga mlalia ini!! 🥰🥰🥰
Hivi unajua kwa kaka ako nimefika itakuwa tulikuwa tunataniana bana wizo 🤣🤣🤣
 
Hizi inteligensia tungewekeza kwenye Mikataba ya Nchi nadhani hawa walamba Asali akiwemo BM wasingechezea Maliasili zetu


Mkuu.

Elewa kuwa hizo deals za mikataba hufanyikia kwenye hotel au lodge huko ughaibuni na huwa ni top secret. So ni ngumu sana kuzidukua kabla hawajaangusha saini.


Ingawa habari zake zitajulikana ila itakuwa late sana.
 
Inaonekana suala la Sisi Wanaume kuridhika na Mwanamke mmoja limekuwa changamoto sana.

Ni vile wengine we keep our Profile low, zikija kuwekwa wazi itakuwa balaa [emoji28]

Hata Mwendazake naye alikuwa mpenzi wa hayo Mambo, ukikutana na ile cycle ya Ikulu huwa wanasema.

Huyo Msoga naye ilikuwa ni vile vile

Wanaume tukakanyage mafuta tu huenda ikasaidia, maana hadi kuna Wazee wa miaka 70+ lakini bado wanahangaika na pussy cat tu [emoji38]
Nikionaga mwanaume anapondea habar za pussy huwa namtilia sn mashaka huo uanaume wake[emoji4]
 
Wee mbona sikumbuki lini nilimfokea?
Naanzaje kumfokea laaziz wangu, nyonga mlalia ini!! 🥰🥰🥰
Hivi unajua kwa kaka ako nimefika itakuwa tulikuwa tunataniana bana wizo 🤣🤣🤣
Hata sikusingizii my Wii, Yani ulimwambia eti yeye alikuwa anazoa zoa humu Jf, anakula visoliwa, ulimchamba....nilisikia uchungu hadi nimelia Mie😭😭😭, Kwa kweli sikulala ile siku
 
Hata sikusingizii my Wii, Yani ulimwambia eti yeye alikuwa anazoa zoa humu Jf, anakula visoliwa, ulimchamba....nilisikia uchungu hadi nimelia Mie😭😭😭, Kwa kweli sikulala ile siku
😂😂😂😂😂😂 Nimecheka mpk watu wananishangaa ujue wizo
Itakuwa kuna kitu nilitumia, usimind me na kaka ako tunataniana humu!!
Halafu usijifanye kaka ako humjui 🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂 Nimecheka mpk watu wananishangaa ujue wizo
Itakuwa kuna kitu nilitumia, usimind me na kaka ako tunataniana humu!!
Halafu usijifanye kaka ako humjui 🤣🤣🤣
Kaka angu anakupenda, kwako kapiga breki kubwa...infwact ukoo mzima tunakupenda....si unaona hata wifiyo nguvu ya kukuchamba sina....naishia kulia tu😭😭
 
Mkuu.

Elewa kuwa hizo deals za mikataba hufanyikia kwenye hotel au lodge huko ughaibuni na huwa ni top secret. So ni ngumu sana kuzidukua kabla hawajaangusha saini.


Ingawa habari zake zitajulikana ila itakuwa late sana.
Na hizi extra-marital affairs huwa zinafanyika kwenye uwanja wa mpira kila mwenye macho anaona ?

Nadhani ni uamuzi tu..., na tumeamua kuwekeza kwenye the latter kama jamii..., Ukute anayeleta hizi story ni Secretary wa the late BM, lakini kaamua kuleta hizi (personal) na sio zile (zinazogusa jamii)
 
Back
Top Bottom