Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Kuna Wazee wa umri wa miaka 60+ wakutosha tu, ingawa huwa wanaingia mara chache chache

Japo Vijana wa miaka 20 hadi 40 wamejaa sana humu, nadhani hawa ndiyo wataendelea kuipa Uhai JF baada ya Kundi hili la 60+ kuanza kupotea kutokana na Umri
Anhaaa.,.,. Kumbe duh so mbaya acha tujifunze kwa wakubwa zetu
 
Imagine BM alivyokuwa anaongea yupo serious vile kumbe alikuwa mchepukaji😆😆
Kwenye zipo hapo hakunaga mtu serious!

Wale Wanaoishi Italia wakikusalisha unaweza amani leo ndio mwisho wa dunia ila wanapiga mashine balaa, si watoto, wakubwa na wake za watu:

Na Wale wale wengine wamo.
 
Kwenye zipo hapo hakunaga mtu serious!

Wale Wanaoishi Italia wakikusalisha unaweza amani leo ndio mwisho wa dunia ila wanapiga mashine balaa, si watoto, wakubwa na wake za watu:

Na Wale wale wengine wamo.
😂😂😂 Hatari sana
 
Si sawa mlinzi Kutoa taarifa za aliyekuwa bosi wake hata kama amefariki.

Tuheshimu viapo.
Unanjua T, huwa unanionea bure. Hakuna kiapo cha kutotaja siri za Marehemu. Mtu ukishakufa hata kama ana watoto wa nje watatajwa, ana nyumba amejenga kwa siri itatajwa. Hata ugonjwa ulomuua. Sasa kusema Rita na Mkapa walikuwa marafiki ni jinai? Kwani uongo?
 
🤣😂aliambulia mafao yake toka kwa Ben kabla hajafa
Anna hajampa hata thumni
Kwanza anaanzaje kumface Anna?
Ana ni mkali aiseeh alikujaga ofisini enzi hizo Niko junior, boss akanambia kalete jalada lake, sasa si mke wa Rais mstaafu, kwahiyo wakijaga maofisini hao, afisa unageuzwa secretary na masjala ghafla. Sasa nimefika masjala, dada wa masjala ananizingua, nikasubiri kama dk 10, ndo napeleka jalada, alooh aliniwashia Moto, kidogo Nilie, boss akampoza, akamwambia ndo anaanza kazi, katoka chuo juzi msamehe tu🤣
Na ni kiburi balaa... na kale kamwili lkn ana jeuri na kiburi kupita kiasi.
 
Nafikiri Anna ndie alie anza kumzingua BM hata ikapelekea wakatengana na akaenda kuishi na mwanaume mwingine na wakazaa.

Sasa wakati BM anapigiwa mchepuo wa kuingia Ikulu, ndipo Mchonga aliamua kwasuluhisha kwa kumwambia BM kwamba Ikulu ni patakatifu na haiwezekani tukawa na president mseja.

Baada ya hapo kwa shinikizo la Mchonga BM na Anna wakarudiana, lakini kiukweli BM hakuwa na upendo tena na Anna.
Wabongo tunalazimishana sana vitu.. mbona Kenya mwamba Daniel Toroitich Arap Moi katawala nchi 23 years akiwa mseja?
 
Back
Top Bottom