MAranatha7
JF-Expert Member
- Sep 29, 2023
- 267
- 536
Nilikuwa ufipani majuzi, mnasifiwa kwa utamuNo mie mfipa na mnyamwanga
Usilete mazoea, ntakutumia radi ya buku[emoji23][emoji1787][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa ufipani majuzi, mnasifiwa kwa utamuNo mie mfipa na mnyamwanga
Usilete mazoea, ntakutumia radi ya buku[emoji23][emoji1787][emoji120]
Mwaka gani ulimaliza pale?Eeh mawenzi secondary
Shule ya wajanja wa mo town
Niliongoza matokeo ya la7 mkoa wa klm
Ila siyo mchaga😂🤣
Mbeya moja hii🙏
Siku nyingine nitaleta thread yake🙏Ikikupendeza, elezea kidogo kuhusu Cleopatra the Queen of South
Kipindi Cha headmistress mkiramweniMwaka gani ulimaliza pale?
Namtafuta Annet Sam nafikiri intake 1993-1996 alikuwa HG pale.Kipindi Cha headmistress mkiramweni
Alikuwa jembe kama ndalichako
Nonsense lady
Mie nimesoma o level paleNamtafuta Annet Sam nafikiri intake 1993-1996 alikuwa HG pale.
I see, kumbe wewe bado chombo kipya?Mie nimesoma o level pale
Miaka ya 2006
A level nimesoma Tabora girls [emoji120]
Niachee🙏👌I see, kumbe wewe bado chombo kipya?
Unaonaje tuyajenge faragha?
Acha basi, maisha ni haya haya bintiNiachee[emoji120][emoji108]
Alisimulia stori ya upande mmoja ila kwa ukoo wa mkapa ni wachawi sana naongea hivyo kwasababu nawajua vizuri sana, sasa je mbona baada ya wao kunyolewa mvua ikanyesha siku ya pili?Aisee! Kumbe walimtenda vibaya hivyo? Mbona hizo habari hazijulikani kwa wengi? Bora zingewekwa wazi kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Kuna la kujifunza katika hayo.
Nitajie kabila ambalo hawapendi hayo mambo kiasi kwamba nitamkuta msichana wa miaka 20 ni bikraSanaaaa,mmakua mmakonde wote yale yale wanapenda hayo mambo hatariiii
Shangaa wewe ...ile ni story ya upande mmojaKwanini hakuacha wosia wa kukataza kuzikwa kwa wachawi?
Kwanini alirudi kuomba kura kwa wachawi.
Sana sana, anachechemea tu, kazeeka sana sana..Kwani huyo Rita ni bii kizee? Kwa sasa
Mie nimesoma o level pale
Miaka ya 2006
A level nimesoma Tabora girls 🙏
raraa reree umefikwa na bibiDuh, huyo ukimtaja tu, anakuja yeye au raraa reree
Aisee!Alisimulia stori ya upande mmoja ila kwa ukoo wa mkapa ni wachawi sana naongea hivyo kwasababu nawajua vizuri sana, sasa je mbona baada ya wao kunyolewa mvua ikanyesha siku ya pili?
Ni sahihi MkuuKuna wakati "vichwa" vinapoteza ushirikiano.
Ni Wanaume tu watanielewa. Hata Wasanii wakaimba "wanaume tumeumbwa...mateso mateso".
Mwakataaa?No mie mfipa na mnyamwanga
Usilete mazoea, ntakutumia radi ya buku😂🤣🙏
Nilitaka nifungue ila Bibi yenu amenikataza.........Babu uliambiwa ufungue group utuadd wajukuu zako wote uwe unatusimulia ulivyo hausimamishi🤣🤣🤣
Vipi group tayari
Dr. A.K.A lecturer huyo kwenye avatar ni wewe?Na ndio akome kudanga na watoto wajue kuwa mama Yao alikuwa Malaya tu Hadi kutembe na viongozi wa juu ki ukweli washike adabu walidhani hayatakuja kuwa hadharani itabaki sirini SAS ndio hvyo tuko digital , mama yule nilikuwa namuheshimu kumbe alikuwa danga la mtu mzito alikuwa akiongea namuona bonge la mam mweny akili kumbe alikimbia mume ili apate pesa shenzi typu
Mm marehemu mzee wangu alikuwa Malaya sna sna Hadi kuiba na kutembea na wake za watu ila hata hvyo sijali mm mnk alikuwa anatumia pesa zake na cheo chake kuiba wake za watu