Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Aisee! Kumbe walimtenda vibaya hivyo? Mbona hizo habari hazijulikani kwa wengi? Bora zingewekwa wazi kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Kuna la kujifunza katika hayo.
Alisimulia stori ya upande mmoja ila kwa ukoo wa mkapa ni wachawi sana naongea hivyo kwasababu nawajua vizuri sana, sasa je mbona baada ya wao kunyolewa mvua ikanyesha siku ya pili?
 
Kuna wakati "vichwa" vinapoteza ushirikiano.

Ni Wanaume tu watanielewa. Hata Wasanii wakaimba "wanaume tumeumbwa...mateso mateso".
Ni sahihi Mkuu

Kuna baadhi ya matukio Mwanaume anafanya hadi wenzake tunabaki kushangaa.

Imagine unakuta Mtu hana nyumba ila anathubutu Kumjengea Mpenzi wake.

Ama unakuta Mwanaume yeye hajasoma ila unakuta anamlipia Mpenzi wake ada kwenye taasisi ya Elimu ya Juu akitegemea eti aje aoane naye

Yaani sisi tukishaanza kuongozwa na kichwa cha chini, huwa ni disaster 🫡
 
Babu uliambiwa ufungue group utuadd wajukuu zako wote uwe unatusimulia ulivyo hausimamishi🤣🤣🤣
Vipi group tayari
Nilitaka nifungue ila Bibi yenu amenikataza.........

Amesema eti sitakiwi kumwaga mchele kwenye Kuku wengi

Niandikie barua alafu umpe yule Kijana wangu anayefanya kazi ofisi ya Waziri Mkuu......nina uhakika itanifikia 🤗
 
Na ndio akome kudanga na watoto wajue kuwa mama Yao alikuwa Malaya tu Hadi kutembe na viongozi wa juu ki ukweli washike adabu walidhani hayatakuja kuwa hadharani itabaki sirini SAS ndio hvyo tuko digital , mama yule nilikuwa namuheshimu kumbe alikuwa danga la mtu mzito alikuwa akiongea namuona bonge la mam mweny akili kumbe alikimbia mume ili apate pesa shenzi typu

Mm marehemu mzee wangu alikuwa Malaya sna sna Hadi kuiba na kutembea na wake za watu ila hata hvyo sijali mm mnk alikuwa anatumia pesa zake na cheo chake kuiba wake za watu
Dr. A.K.A lecturer huyo kwenye avatar ni wewe?

#YNWA
 
Back
Top Bottom