Hivi Robert Kyagulanyi a.k.a Boby Wine na JF Founder Mtani wangu Maxence Melo ni Mtu na Kaka yake au? Wanafanana ile mbaya!

Hivi Robert Kyagulanyi a.k.a Boby Wine na JF Founder Mtani wangu Maxence Melo ni Mtu na Kaka yake au? Wanafanana ile mbaya!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna uwezekano mkubwa Kijana na Mwanasiasa Machachari nchini Uganda Robert Kyagulanyi ( alias ) Boby Wine akawa ana Ndugu yake wa Damu kabisa huku Tanzania aitwae Maxence Melo ila bado hajafahamishwa tu. Ukiwaangalia hawa Wawili wala hutopata shida kuhisi kuwa huenda wakawa ni Ndugu kabisa kwani wamefanana Kunakotukuka Sura zao. Mtani kamchukue Nduguyo Uganda.
 
Una utani mbaya chief ...ila kama inakujaaa inakataaa nipo naangalia kwa umakini
 
Huyo Maxence Melo ni Mtani wangu mkubwa sana wa Kihaya halafu ninamkubali mno kwani Jamaa ni Genius na ni Mtu Mmoja Muungwana pia.
Naunga mkono hoja ...bhasi kama ni wa huko na uganda si karibu sana make wale maji unachota uganda au wa tz anachota uganda
 
Bob wine ni mhaya asili yake ni pale kamachumu bukoba,,kwani melo ni mnyantuzu wa wapi vile?
Watani zangu Wahaya nadhani Nduli Idi Amini Dada alikuwa sahihi kabisa kutaka huo Mkoa wenu uwe Mali ya Uganda kwani nyie ni Waganda pia.
 
eti maxmello ni mtambishaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna jamaa kanichekesha humu!!
 
The CEO and founder of jamiiforum,
Al the way from DIT,Dar es salaam Institute of Technology,
Kumbe jamaa alipiga DIT pale, kweli nimeamin programming sio kuwa na IQ kubwa bali ni kitu inatoka damuni/inner motive. Nashangaa UDSM wapo magenius lakin hakuna kitu cha kutisha wamefanya so far.
 
Kumbe jamaa alipiga DIT pale, kweli nimeamin programming sio kuwa na IQ kubwa bali ni kitu inatoka damuni/inner motive. Nashangaa UDSM wapo magenius lakin hakuna kitu cha kutisha wamefanya so far.
Kwahiyo hapa na kwa haya Maelezo yako unataka Kumaanisha au Kutuaminisha nini labda kwani naona kama unakuja kisha pia unatoka kwa Hoja.
 
Kwahiyo hapa na kwa haya Maelezo yako unataka Kumaanisha au Kutuaminisha nini labda kwani naona kama unakuja kisha pia unatoka kwa Hoja.
Hayo maneno ya mwisho sijakuelewa vizuri unamaanisha nini, hebu soma ulichoandika then urekebishe!
 
Back
Top Bottom