Hivi Rwanda huwa anapingaje kuhusika na vita Mashariki ya Congo wakati ukweli upo wazi

Hivi Rwanda huwa anapingaje kuhusika na vita Mashariki ya Congo wakati ukweli upo wazi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Yaani huwa kauli zinatolewa na nani je ni waziri au taifa kwa ujumla au rais.

Kwa mfano tuseme ingekuwa wanajeshi wanahusika kuwasaidia waasi labda Msumbiji na watu wote tukawa tunajua kabisa mpakani huko wanasaidia je wanaposhutumiwa kauli ipi wangetoa inayofanana na ya Rwanda.

Je, wangesema hawajui kabisa na kukanusha au wangesema nini maana ulimwengu mzima unajua ukweli sasa rwanda kupinga pinga inakujaje?
 
Yaani huwa kauli zinatolewa na nani je ni waziri au taifa kwa ujumla au rais.kwa mfano tuseme ingekuwa wanajeshi wa Tz wanahusika kuwasaidia waasi labda msumbiji na watu wote tukawa tunajua kabisa mpakani huko wanasaidia je wanaposhutumiwa kauli ipi wangetoa inayofanana na ya rwanda.je wangesema hawajui kabisa na kukanusha au wangesema nini..maana ulimwengu mzima unajua ukweli sasa rwanda kupinga pinga inakujaje?
rwanda ni koloni la marekani ,ufaransa na Uingereza
Hivo wanajua hamna wakuwafanya lolote kwan hao wanaosema hivo ndio hao hao wamempa kinga Pk asihukumiwe kwene mahakama za uhalifu dhidi ya binadamu
 
Ni kama chachamaa wanavopingaga kuiba chakula wakati Kila mtu anawaona😅😅😅😅


Sisi wote ni ndugu, tumepishana vipaumbele tuu! Wengine madini,wengine misosi ya awamu Tano Tano za mvua
 
Siasa ni mchezo mchafu. Sijui nani alisema.
Lakini,swali ni moja! Wanapopigana risasiwatu furani,mbona hamuulizani?

Miaka miwili iliyopita,wakati Russia anaingia Ukraine,ilikuwa kwamba Russia kavamia. Leo hii,ni wazi Ukraine tu ni uwanja wa vita kati ya NATO na Russia. Na Rwanda ukiangalia,kuna kitu utqgundua. Na ukikielewa,utakaa kimya
 
Nyie Watanganyika subirini Kagame akisha komboa ardhi na Watutsi wenzake Kongo atageukia kwa ndugu zake wa Karagwe Wahangaza
 
Back
Top Bottom