Hivi safari ya kilele cha Mlima Kilimanjaro, hawa akina Mangungu, Surndaland na Try Again wanaijua? Ama wanafikiri hapo ni kama kupanda ghorofa?

Hivi safari ya kilele cha Mlima Kilimanjaro, hawa akina Mangungu, Surndaland na Try Again wanaijua? Ama wanafikiri hapo ni kama kupanda ghorofa?

Simba inaendelea kiutangaza Tanzania na Utalii wake hata bila ya vizawadi vya Kupanda ndege au kula pilau bure.
 
IMG-20230716-WA0001.jpg
 
Sina uhakika na hiyo live yao.
Ila pale juu kuna network.
Not that strong

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nlisikia tiGo wamefunga 5G
Ooh ok. Ila wangeweza kutumia njia nyingine ya uhakika zaidi. Wangepanda kimya kimya, wakafanya recording ya quality ya juu, siku waliyochagua wakatoa promo ya kushtukiza. Ila naelewa kwa nini wametumia njia hii ya kutangaza mapema.
 
Ooh ok. Ila wangeweza kutumia njia nyingine ya uhakika zaidi. Wangepanda kimya kimya, wakafanya recording ya quality ya juu, siku waliyochagua wakatoa promo ya kushtukiza. Ila naelewa kwa nini wametumia njia hii ya kutangaza mapema.
Dakika 20 Uhuru peak ni nyingi sana.

Easy batteries kuwa dried.

Kiafya don't spend more than 10minutes...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwa akili yako ya kuvukia barabara,unadhani uzinduzi wa jezi utafanywa na tour guides? Au viongozi wa timu?
Wewe ndio mwehu, cha muhimu jezi ifike juu na ionyeshwe kwa mara ya kwanza ikiwa kileleni no matter kaifikisha nani na kaionyesha nani,
 
Kuwa Moshi ni kitu kimoja kwenda kupanda mlima ni kitu kingine.

Wewe hujawahi kupanda nadhani unasimuliwa tu.Huijui shughuli yake
Nongwa gani unayosema?
Mi nshapiga upagazi mlimani, najua tabu za kule lakini watu wanatoboa
 
Dakika 20 Uhuru peak ni nyingi sana.

Easy batteries kuwa dried.

Kiafya don't spend more than 10minutes...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nadhani wangetumia njia hiyo ya kurekodi mapema wangekuwa na nafasi zaidi kuongeza ubunifu badala ya kutegemea mambo ya live ambayo yanaweza kuwa na changamoto nyingi. Wangeweza kurekodi njiani pia, wakaunganisha na footage za kiwandani jezi zilipotengenezwa ili kutengeneza kama kadocumentary hivi kakali ka dakika 3. Hapa nawaza idea moja kali sana, labda nitaipenyeza kwa wahusika ili mwakani ifanyiwe kazi.
 
Back
Top Bottom