Hivi Samatta yupo kweli?

Hivi Samatta yupo kweli?

Mama ako nae amejiuza sana mpaka tulipo muonea huruma na kumnunua,tukampa mimba tukamtelekeza,akakuzaa kwa tabu..magumu uliopitia ndio yamekuondoa nidhamu/heshima lakn sio kosa lako
Vp umefurahi? Ulipo nitusi? Mbwa we
 
Nafikiri Id yako inazungumza mengi
Mkuu unazungumza haya ukiwa na maana gan?
Mimi nikidhihakiwa nikae kimya kwa kipi alicho nacho!!!..ishu za ID,sijui kitu gani hizo ni kelele me sijui hata unasema nini
 
Samatta kaenda kutamba huko kongo kwao na mayele hajulikan, samatta kwenye peak yake mayele wawe wa3 nusu na robo.
Kila kitu na muda, samatta anawatoa mafua mabeki wa kongo, katumbi anamchukua kwenda tp mazembe mayele alikuwa wapi?
Ni sawa leo umuulize tressor mputu,
Samatta kafunga huko Belgium pro league mpaka akachoka, akafeli kkwenda Aston villa (hii inatokea kwenye maisha), walifeli kina di maria itakuwa samatta
Mchezaji bora wa africa.

Ni sawa na kumsema cr7 kisa tu saa hizi hana timu.

Wabongo hatupendani, ni kweli akilii ya mpira ya chama inaweza kuwa kubwa kuzidi hata grealish, ila hilo halifanyi samatta aonekane hajui mpira.
Mkuu umesema ukweli wote,
 
Kuna klip moja huko tiktok inasema tafute dume akushikeshike matako acha kukasirika[emoji848][emoji848] dah nimwewaza sana hapo isee[emoji849][emoji849][emoji115][emoji115]
 
Back
Top Bottom